Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

jamani mimi ni machozi tu yananitiririka hapa, hii furaha mimi siitaki inaniumiza sasa, acheni mumgu aitwe mungu jamani tulizalilishwa saaaaaaaanaaaaaa, tulitukanwa saaaaaanaaaaaaa! tulichambwa saaaaanaaaaaaaaaa. speechlesssss!!! cant talk awards only will speech on my behalf. thank u God

lia tu mamam.....lia tu...machozi yako yafuraha nitayafuta
 
hata kama diamond kachukua ila wabongo kwa Figisu tu nimewakubali...yaani wakaunda hadi account insta kushawishi Daimond asipigiwe kura...kama Diamond ameweza kuruka kihunzi cha figisu za wabongo hadi kutoboa basi he is unbreakable

baadhi ya sisi wabongo ni wapuuzi sana tuna wivu mno na wanafiki wa kupindukia.
 
All the way from Togo or Tanzania?

Hapo ndipo unaonekana umuhimu wa kuwa na watu wengi wanaofanya vizuri kwenye industry. Sitegemei kama msanii wa nigeria atatajwa kuwa katokea Angola! Kwasababu wameshajibrand na wanajulikana sana.
 
Team kibakuli en mama michirizii apoo walipooo roho zinawaumaaaa kinyamaaa mpkaaa baaasii wataendeleaaaa kuchukuaa ktm tuuu
 
Mtu anafanya kazi nzuri kutokana na mzingo wa $ uliwekwa mezani na mda hapo unazingatiwa sana zaidi ya kumkata lowassa!
 
Kituzo chenyewe kimoja tu, hapa fitina zimefanyika walah hiv kwel Dai best live Act than Mr.Flavour? Haingii akilini ujinga huu.

Shame shame to mtv
 
Back
Top Bottom