acha kigeugeu ww Kidingi c umeandika mwenyewe au hujaonaacha ufinyu wabakili wewe.. katika nilivyokutajia wanaangalia uwe full paçkage kwenye kila sector sio unaangalia sehemu moja..
Ndio maana shuleni kwenye masomo 5 unaweza ukaongoza somo 1, and still in average ukapigwa bao...
Kichwa kigumu kwasababu umezoea daladala tour mtvmama wapi na wapi kijana hahahaha
Nani kakwambia maisha yangu it's all about that comment??? You are taking things so seriously imekuchoma kumoyo nin??
Moyo wangu ti ti ti unakimbiaa ina chibus voice
sho...ga baba yako we si ndo ulianzamwangu unajua kuchamba...we sho...gaeee?
acha kuni enjoy ww subiri huyo vanesa wako apigwe na yemi aladeebu nisaidie wimbo wa V mtonyo aliomshirikisha/shirikishwa na mnaigeria coz unanichanganya mkuu
Team kibakuli ongeeni sasa
wizkid mwaka jana alikuwa na nominations 3, hakupata hata tuzo moja...
psquare the same tuzo za mtv mara ya mwisho sijui ni lini,.. kati ya mastaa wasio na nyota na tuzo psquare wanaongoza...
Na sio kama anajiamini, yeye alishasema tuzo hazinifanyi kuwa msanii bora, kila mtu na msimamo wake..
Mbona hukumuongelea kibakuli alivyomppigia magoti wema amsaidie ktma??
hebu sema basi tatizo nini kwani imekwaje?Jamani siamini mimi!siamini jamani mpaka nalia!siamini mwenzenu,tumetukwanwa sisi!tumedharauliwa sisi