ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
huo ni uwongo wa mchana kweupe!Updates ni kuwa mkutano umepigwa marufuku na kamanda wa polisi mkoa. Kule Songea watu hawataki kupoteza maisha kwa mabomu ya kujilipua wenyewe.
huo ni uwongo wa mchana kweupe!Updates ni kuwa mkutano umepigwa marufuku na kamanda wa polisi mkoa. Kule Songea watu hawataki kupoteza maisha kwa mabomu ya kujilipua wenyewe.
songea hiyo ya kwako ama, we kweli mburula!Mkutano umepigwa marufuku. Songea hawapendi ujingaujinga.
Tunadumisha mila , sisi ni watanzania wamasai ndugu zetu .....Alaaa!! sasa hiyo shuka iliyotandikwa mezani ndio sare ya chama au?
hawana jipya hao mkuu, wamepitwa na wakati, sisi tunasonga mbele mwendo mdundo!!ha ha haaa!magamba mmekula kichapo cha mbwa mwizi Arusha,bado mnajitutumua?
Naona mpaka sasa wanasuasua kuleta picha ... Hahaha! Makamanda leteni picha tuone umati hehe
ccm inapendwa na mafisadi zaidi, chadema inapendwa zaidi na wanyonge! Hata mseme vip, ccm inaelekea kuchokwa, sisi kusini tunajipanga kuachana nayo, tuone mtapata hizo kura mnazoita sijui za kishindo!Jiulize hiyo Chadema inapendwa sana na kabila gani hapa nchini. Halafu kama niambie CCM nayo inapendwa na kundi moja au na nchi nzima. Ukipata jibu kaa nalo mwenyewe.
Mkuu Mwita Maranya,tusiwe wanafiki katika hili hivi umeshawahi kumsikia mwenyekiti wenu akiwaamasisha watu wake kuandamana au kuvunja sheria za nchi? Tena ndio kwanza anaisifia serikali na rais zinapojenga barabara ili kuishawishi na kuongeza kasi ya maendeleo.Hivi wewe Mingoi umefunga kweli au unatuzuga tu? haya maneno ya uchochezi na chuki za kikabila hayafai kabisa kuandikwa na muislamu tena aliye katika funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Hapa wapi Mbulu au Dongobesh?
Mila za kingoni zimepitwa na wakati? utaifa umewapitia mbali sana nyie nyangauTunadumisha mila , sisi ni watanzania wamasai ndugu zetu .....
Hivi Mohamedi Mtoi, ni msemaji wa Chadema.
huo ni uharo!mohamedimtoi hivi wewe u nani chadema!maaana nawajua kuna vijana wengi walikuwa busy na chadema mwisho wa siku wanatupa kule bila ya msaada wowote na kushauri achana na siasa maji taka zitakupotezea muda!
case study: wapi alipo ludovick joseph,henry kilewo,dady igogo etc! take care bwana mdogo
Hivi Mohamedi Mtoi, ni msemaji wa Chadema.
Mbowe siyo mwanasiasa.
Mkuu bila shaka shule yako haija kusaidia kabisa! Mpaka leo hujui tofauti ya kuwa msemaji na kuripoti kinacho semwa?! Nani amenajisi elimu yetu mpaka mnashindwa kutofautisha vitu vidogo namna hii?!
Mkuu bila shaka shule yako haija kusaidia kabisa! Mpaka leo hujui tofauti ya kuwa msemaji na kuripoti kinacho semwa?! Nani amenajisi elimu yetu mpaka mnashindwa kutofautisha vitu vidogo namna hii?!
Hivi Mohamedi Mtoi, ni msemaji wa Chadema.