Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Mbowe akiwa kwao anahubiri elimu na maendeleo kwa vijana wake hapa anawafanya wangoni wapumbavu anawaamasisha washiriki vurugu ili wapate ulemavu kama sio kifo

Kwa hiyo mnataka mkawaPINDE hao wangoni?
 
Chadema hawaheshimu hata mwezi mtukufu

Ufahamu wa watu na imani zao unakupa shida,Misri na Syria si alama ya dini ya kiislam,Ni vyema Chadema kabla kukimbilia kuiga nchi nyengine mkafahmu na kuheshimu mila,desturi na imani za watanzania.Katika hili la ramadhan mnatoa mfano wa nchi zenye waislam lakini linapokuja suala la kuanzisha Red Brigade mnaikana ile ya kigaidi nchini Italy.Mnapojaribu kueneza uongo na propaganda wekeni kumbukumbu zenu vizuri kwani watanzania sio wajinga.
Ni kweli mkuu Mingoi si CDM tu mimi pia niliishanga serikali na tume ya uchaguzi kupanga tarehe ya uchaguzi wa madiwani Arusha katika Ramadhani. Nadhani ni kweli hii serikali ni ya mfumo ule......................!.
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Wingu Hapo itakuwa kwaya zinapigwa
na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake
hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
Hapo ndo CCM mlipofikia.Mkiambiwa mnabagua wananchi kwa imani zao,mtajiteteaje?Mmefikia mwisho wa kufikiri.

Waache waendeleze ujinga wao. Ubaguzi hawataacha lakini ndio kaburi lao.
 
Ufahamu wa watu na imani zao unakupa shida,Misri na Syria si alama ya dini ya kiislam,Ni vyema Chadema kabla kukimbilia kuiga nchi nyengine mkafahmu na kuheshimu mila,desturi na imani za watanzania.Katika hili la ramadhan mnatoa mfano wa nchi zenye waislam lakini linapokuja suala la kuanzisha Red Brigade mnaikana ile ya kigaidi nchini Italy.Mnapojaribu kueneza uongo na propaganda wekeni kumbukumbu zenu vizuri kwani watanzania sio wajinga.

Kama si alama ya uislam ni nini? Tuambie waislam ni % ngapi ya wakazi wa nchi hizo? Tulitarajia vita na vurugu visimame ktk nchi hizo kwenye mwezi huu mtukufu!
CC: njiwa, Ritz
 
Mkutano umemalizika salama,Pinda naye yuko Songea.

Good news. Kazi nzuri redbrigade chin ya mlinzi mkuu Jehova!

Naona kuna wengine walikuwa wakichungulia jf kujua kama ni umati au wachache ndo wamefika mkutanoni ku- justify vitisho na mbinu zao ovu. Shame on them! cdm will never perish!
 
Sijakuelewa mkuu unachomaanisha

Hujaelewa nini hapo Mkuu, jamaa anaendeleza sera za Chama Cha Madili za kuwagawanya Watanzania Kidini, Kikabila na Kikanda ili amngalau wamalizie muda ukliobaki wakiwa madarakani.
 
Mabadiliko ya utawala mwaka 2015 ni muhimu sana! Ccm imetosha muda wao umeisha
 
Mabadiliko ya utawala mwaka 2015 ni muhimu sana! Ccm imetosha muda wao umeisha
Andaeni na makaburi kabisa lazima mfe kwa kihoro mtashangaa mweleka mtakao kula hamtaamini watanzani siyo wajinga wachague chama cha vurugu.
 
Back
Top Bottom