Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

mkuu sijamkejeli mtu ila namuomba radhi kwa kuwa post yangu ilimvurugia ibada yake ya toba!sasa wapi nimeleta mahoka?nafikiri wewe unataka kunichonganisha tu na members wa humu ndani !then naona leo umenipania sanaaaa
Sijakupania mwana ila najaribu kukuelimisha kidogo.
 
Usikimbie hoja, hao watanzania wamefanya nini cha kutoheshimu mwezi mtukufu. Syria na Misri ndio wameshindwa kuheshimu.
Ufahamu wa watu na imani zao unakupa shida,Misri na Syria si alama ya dini ya kiislam,Ni vyema Chadema kabla kukimbilia kuiga nchi nyengine mkafahmu na kuheshimu mila,desturi na imani za watanzania.Katika hili la ramadhan mnatoa mfano wa nchi zenye waislam lakini linapokuja suala la kuanzisha Red Brigade mnaikana ile ya kigaidi nchini Italy.Mnapojaribu kueneza uongo na propaganda wekeni kumbukumbu zenu vizuri kwani watanzania sio wajinga.
 
Red Brigade wawe makini kuangalia defender za polisi. Wahakikishe polisi hachomoki kwenye gari na mfuko mweusi wa malboro wenye kitu na kuirusha kwenye mkutano
 
CDM mna nafasi ya kunyakua jimbo la songea mjini uchaguzi ujao. Hata uchaguzi uliopita mlishinda; ila kura hazikulindwa. Mkaruhusu wapambe wa nchimbi kuchakachua kiulaini. Imarisheni inteligensia.
 
Naona mpaka sasa wanasuasua kuleta picha ... Hahaha! Makamanda leteni picha tuone umati hehe
 
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

wewe kilaza huu wimbo wa udini na ukabila hautawezekana uliza kilichotokea Tanga ccm na cuf walipiga nyimbo hizo za udini na cuf ndio waliongoza hizo siasa kwa kutumiwa na ccm waliambulia kura tano kata nzima pale muheza na hata Arusha ccm wametumia ukabila kwa kusema umasai na wakuja lakini ilishindikana lakini pia cuf walijaribu kutumia udini kwenye kata ya kaloleni wakisaidiwa na ccm lakini waliambulia aibu kubwa sasa wewe endelea kuimba hizo nyimbo za kijinga.
 
Ufahamu wa watu na imani zao unakupa shida,Misri na Syria si alama ya dini ya kiislam,Ni vyema Chadema kabla kukimbilia kuiga nchi nyengine mkafahmu na kuheshimu mila,desturi na imani za watanzania.Katika hili la ramadhan mnatoa mfano wa nchi zenye waislam lakini linapokuja suala la kuanzisha Red Brigade mnaikana ile ya kigaidi nchini Italy.Mnapojaribu kueneza uongo na propaganda wekeni kumbukumbu zenu vizuri kwani watanzania sio wajinga.

Hakuna mahali nimesema Misri na Syria ni alama ya dini ya kiislamu, hayo umetunga wewe,

Hebu nifahamishe ni wapi CHADEMA;

:Wameiga mataifa mengine,
:Wameshindwa kuheshimu mila, tamaduni na imani za watanzania?
 
joto la arusha bado linawasumbua viva chadema 4-0
 
Ufahamu wa watu na imani zao unakupa shida,Misri na Syria si alama ya dini ya kiislam,Ni vyema Chadema kabla kukimbilia kuiga nchi nyengine mkafahmu na kuheshimu mila,desturi na imani za watanzania.Katika hili la ramadhan mnatoa mfano wa nchi zenye waislam lakini linapokuja suala la kuanzisha Red Brigade mnaikana ile ya kigaidi nchini Italy.Mnapojaribu kueneza uongo na propaganda wekeni kumbukumbu zenu vizuri kwani watanzania sio wajinga.
Wewe haupo mkutanoni usituchanganyi kama huna cha kusema kaa imya
 
CDM mna nafasi ya kunyakua jimbo la songea mjini uchaguzi ujao. Hata uchaguzi uliopita mlishinda; ila kura hazikulindwa. Mkaruhusu wapambe wa nchimbi kuchakachua kiulaini. Imarisheni inteligensia.

The Invincible mbona waleta vioja hapa Jf' mahakama zimewekwa za nini kama mmedhulumiwa ushindi wenu.
 
Last edited by a moderator:
Sijakuelewa msingi wa kuitaja Syria na Misri,hapa ninazungumzia Tanzania na watanzania.

We mwanamke unahangaika nini. Mbona Pinda yupo ziarani mpaka KAPINDULIWA PINDUUUU, manundu kila kona, hulalamiki. Toa ujinga wako hapa unataka kuharibu siku tu.
 
Back
Top Bottom