Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Updates ni kuwa mkutano umepigwa marufuku na kamanda wa polisi mkoa. Kule Songea watu hawataki kupoteza maisha kwa mabomu ya kujilipua wenyewe.
Leo naona umetumwa kuwakilisha wadau wa BUKU SABA,shift yako inaisha saa ngapi?
 
Mkirua upo,
Nimefurahi hayo majina ya songea.bomba2 matogolo,kilangajuu,losaboni nk
 
Mdada utasutwa!!! Kuna chama fisadi Tanzania bara na visiwani kuzidi CCM? yaani pamoja na propaganda zenu CHADEMA inazidi kukuwa na kupendwa kila siku, aibu kama kuna vijana wanaoipenda Tanzania bado wako CCM chama kinachokufa Tanzania.

Jiulize hiyo Chadema inapendwa sana na kabila gani hapa nchini. Halafu kama niambie CCM nayo inapendwa na kundi moja au na nchi nzima. Ukipata jibu kaa nalo mwenyewe.
 
Huo si ukweli, hivi nyie nani aliwapa hilo jukumu ? mie naona mnasimamia matumbo yenu tu.

Unakumbuka Mwenyekiti alipojiuzia mafuso mtumba kwa bei ya zaidi ya mapya?

Unakumbuka Slaa kajijengea jumba la kifahari Dar kwa fedha zipi?

Unakumbuka kuwa Slaa anamlaza mpaka hausgeli 5 star hotel kwa fedha zipi?

Unakumbuka kuwa huyo huyo Slaa ndiye kampa "mchumba" majukumu ya kusimamia matumizi yote ya chadema kwa "software" zake?

Hapo kuna kuwasimamia Watanzania? wacheni kupotosha umma.

cc. TUNTEMEKE, hamy D
Weka ushahidi wote wa haya uliondika
 
Jiulize hiyo Chadema inapendwa sana na kabila gani hapa nchini. Halafu kama niambie CCM nayo inapendwa na kundi moja au na nchi nzima. Ukipata jibu kaa nalo mwenyewe.

Acha wivu Radhia Sweety. CHADEMA inapendwa na watu wote makabila yote, usikaririshwe na bosi wako, CDM inakua zaidi we njoo huku kanda ya ziwa utaona jinsi ilivyojaa kwenye mioyo ya watu, tunapenya vijijini na ngome za CCM tumeshaziteka, huamini? subiri tufanye chaguzi nyingine. CCM Mnakata roho. Kubali tuu, usijipe moyo
 
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

Sio lazima kuchangia kila thread hapa kama unaona hapakufai ulitakiwa kupitiliza tu kuliko kuuanika ubongo wako unajifedhehesha bila kujitambua.
 
Anaeongea ya dini kabila hana tofauti na dhaifu.mpuuzi..akili yake hata yy mwenyewe haimsaidii..
 
Jiulize hiyo Chadema inapendwa sana na kabila gani hapa nchini. Halafu kama niambie CCM nayo inapendwa na kundi moja au na nchi nzima. Ukipata jibu kaa nalo mwenyewe.
Mgamba huu udini wenu na ukabila ndio unawafanya mchukiwe,angalieni sana,watz sio wajinga na wanawajua nia na madhumuni yenu.
 
Updates ni kuwa mkutano umepigwa marufuku na kamanda wa polisi mkoa. Kule Songea watu hawataki kupoteza maisha kwa mabomu ya kujilipua wenyewe.

Ukhty unaniachaga hoi sana. We ni wa Tanga nini manake unaonyesha umezoea kusutasuta.
 
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.


ondoa kiwingu hapa usije ukaniharibia swaumu yangu bure.
 
Ukiwa unaweweseka ndio kwanza nyomi linaelekea uwanjani.
mohamedimtoi hivi wewe u nani chadema!maaana nawajua kuna vijana wengi walikuwa busy na chadema mwisho wa siku wanatupa kule bila ya msaada wowote na kushauri achana na siasa maji taka zitakupotezea muda!
case study: wapi alipo ludovick joseph,henry kilewo,dady igogo etc! take care bwana mdogo
 
Last edited by a moderator:
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

kisukari kitakuua mkuu .
 
Back
Top Bottom