Mbowe siyo mwanasiasa.
Mkuu Ng'wanangwa, Hako ka Quote Kako Hapo Chini Huwaga Kananikumbusha TE na CS za Dr DDD, TE 341 (Digital Electronics For Engineer 11), CS 451 (Computer Engineering 111 au Mwenye alikuwa anaiita Computer Architecture For Engineer) na TE 442 (Digital Electronics for Engineer 111 Bia Kusahau VLSI, Lol !!!!!!
"REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha"
umechanganyikiwa wewe, kumbe ninani?
Wanasema imekufa maana wanajua wakiendelea kusema iko hai watakufa kabla ya muda.
Kila la kheri,mpaka 2015 mambo yatakuwa mazuri tu.
Mh hii kali saizi na jua lote NIOTE?au ndio akili zenu za kutumia ma------?Unapenda sana kuota wewe
Leteni updates makamanda...
M4C imekufa. Imebaki kuzikwa tu. Eti kila siku michango tu lakini hata hatuambiwi hizo hela zinatumika vipi. Kama siyo ufisadi ni nini sasa hii?
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.