Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

halafu ukiambiwa mdini utabisha!!

yani watu kama nyie bora mfe tu kila kitu lazma uingize udini.
 
jamaa amewafunga kamba pinda yuko songea na mbowe nae aruhusiwe kuhutubia songea? yatakuwa ni maajabu
 
Karibu sana mh. Mbowe na m4c kusini, tumechoka kuwa na wabunge wapiga dili kwa huku kusini, tunataka Songea mjini, mbinga mashariki, magharibi, peramiho, namtumbo yote mwaka 2015 yatoke kwa magamba!
 
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

mjitu mingine imechanganyikiwa hata haijui inazungumza nn
 
Mkutano utakuwa viwanja vipi? Nipo songea,nataka nikawape live updates + photos
 
Wakuu.

Leo majira ya saa 9, M/kiti wa CHADEMA Taifa, kamanda Freeman Mbowe akiandamana na viongozi kutoka Makao Makuu na wabunge wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, atakuwa na mkutano wa hadhara mjini Songea, Ruvuma, ikiwa ni sehemu ya ukamilishaji wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini (Mtwara, Ruvuma na Lindi).

• Mapokezi makubwa (maandamano)yataanzia eneo la Bomba mbili. Mbali ya ku-set agenda za masuala mbalimbali, kisiasa, kijamii na kiuchumi, ambayo CHADEMA inasimamia kwa ajili ya Watanzania, pia atazungumzia masuala kadhaa, zikiwemo kauli za Mzee/Viongozi Wastaafu (ref. Mwananchi ya leo) kuwa wanapaswa kuwa statesmen, hasa katika kushauri taifa kushughulikia primary contradictions kwa ajili ya kutatua matatizo yanayoikabili nchi na Watanzania, badala ya (wao) kutumika kufanya propaganda kwa kuzungumzia secondary contradictions (mfano suala la amani linafanyiwa propaganda sana), huku taifa likiangamizwa na CCM.

Updates combination Tumaini Makene na Mohamedi Mtoi itakujuza kila linalo jiri.

Tunashukuru kwa ujio wako hapa Songea
 

Attachments

  • CDM!.JPG
    CDM!.JPG
    46.9 KB · Views: 1,140
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.

udini tu ndo mlionao uoni aibu bwabwa wewe
 
Wakuu.
Mbali ya ku-set agenda za masuala mbalimbali, kisiasa, kijamii na kiuchumi, ambayo CHADEMA inasimamia kwa ajili ya Watanzania,

Huo si ukweli, hivi nyie nani aliwapa hilo jukumu ? mie naona mnasimamia matumbo yenu tu.

Unakumbuka Mwenyekiti alipojiuzia mafuso mtumba kwa bei ya zaidi ya mapya?

Unakumbuka Slaa kajijengea jumba la kifahari Dar kwa fedha zipi?

Unakumbuka kuwa Slaa anamlaza mpaka hausgeli 5 star hotel kwa fedha zipi?

Unakumbuka kuwa huyo huyo Slaa ndiye kampa "mchumba" majukumu ya kusimamia matumizi yote ya chadema kwa "software" zake?

Hapo kuna kuwasimamia Watanzania? wacheni kupotosha umma.

cc. TUNTEMEKE, hamy D
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom