Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Nadhani leo huko ni matusi matupu na matamko tu.
Mkuu mbona unaweka picha za mandamano ya mwaka 2010 tunataka za kwenye mkutano wa leo au mmehutubia wachaga wa songea tu.
Mkuu mambo mengine vituko kweli mbowe anahubiri elimu wakati hata maana ya elimu hajuwi make hajasoma.Kwa hiyo mnataka mkawaPINDE hao wangoni?
Simiyu yetu Mbona picha ya mwisho ina tarehe na saa? Au ni upofu wa kishabiki!Nadhani leo huko ni matusi matupu na matamko tu.
Mkuu mbona unaweka picha za mandamano ya mwaka 2010 tunataka za kwenye mkutano wa leo au mmehutubia wachaga wa songea tu.
Mkuu mambo mengine vituko kweli mbowe anahubiri elimu wakati hata maana ya elimu hajuwi make hajasoma.
mikutano ya ccm huwa shule watoto wanapewa ruksa mapema waende nyumbani kubadisha unifom ili wajaze mkutano
Mkuu mbona unaweka picha za mandamano ya mwaka 2010 tunataka za kwenye mkutano wa leo au mmehutubia wachaga wa songea tu.
Mkuu mambo mengine vituko kweli mbowe anahubiri elimu wakati hata maana ya elimu hajuwi make hajasoma.
Mkuu mbona unaweka picha za mandamano ya mwaka 2010 tunataka za kwenye mkutano wa leo au mmehutubia wachaga wa songea tu.
Wanasema imekufa maana wanajua wakiendelea kusema iko hai watakufa kabla ya muda.
Mkuu mambo mengine vituko kweli mbowe anahubiri elimu wakati hata maana ya elimu hajuwi make hajasoma.
Mkuu mambo mengine vituko kweli mbowe anahubiri elimu wakati hata maana ya elimu hajuwi make hajasoma.
Jiulize hiyo Chadema inapendwa sana na kabila gani hapa nchini. Halafu kama niambie CCM nayo inapendwa na kundi moja au na nchi nzima. Ukipata jibu kaa nalo mwenyewe.
wewe dada ungekuwa mchawi tungekomaMbowe siyo mwanasiasa.
mkuu ni wakati wa digitali angalia tarehe ya kwenye picha utajifanya ujaionaMkuu mbona unaweka picha za mandamano ya mwaka 2010 tunataka za kwenye mkutano wa leo au mmehutubia wachaga wa songea tu.