asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mohamedi Mtoi,ni lini Chadema itaenda Tanga?
idadi ya kura za uchaguzi mdogo wa udiwani muheza hukuziona?
Mohamedi Mtoi,ni lini Chadema itaenda Tanga?
Unakila dalili za magonjwa nyemelezi ya viroba na ugoro,nani kakuambia mimi muislam? ebu wapeni fursa wanachama wenu wafanye ibada ya ramadhani kwa hizi siku 30.Acheni kuchafua dini zisizowahusu, kwani Mwezi mtukufu ni kwa ajili ya kufanya tafakuri ya kina , na Chadema wanafanya tafakuri kuhusu Taifa ,
Tatizo , unajifanya wewe ni muislam hebu andika aya moja hapa , nitakujibu yatakayofuatia
Acheni ubaguzi jamani?kwani kuna viongozi wangapi wa CCM wameoa wachaga?nasikia hata Mwigulu Nchemba kaoa mchaga,tuache ubaguzi haufai.most of them are kilimanjaro residents
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]Nnnrejedi ..! Naghenjwa wanti ndherin ...!
mkuu mimi ni mwananchi wa kawaida tena mtoto wa mstaafu wa jumuiya ya africa mashariki! sio mlengo wa chama chochote kile cha siasa,ila napenda taifa langu tanzaniaNimekuelewa,tunajua mpo hapa,kitu muhimu mjaribu kuwa na uono wa jicho la tatu,hata mkiwa na hao baba zenu wapeni na ushauri kuwa wanayoyafanya sio mazuri,kwani nyie na familia zenu mtaishi peponi?nikimaanisha kuwa mnaishi na sisi hata kama ni Oysterbay,Masaki,Tandika au Mbagala,na pia hamtakaa maisha kwenye hizo nafasi zenu,hata kiwango cha maisha kuna siku kitabadilika,wajukuuu wenu watakuja kusoma na wajukuu wetu,kuweni makini sana!
Wakuu.
Leo majira ya saa 9, M/kiti wa CHADEMA Taifa, kamanda Freeman Mbowe akiandamana na viongozi kutoka Makao Makuu na wabunge wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, atakuwa na mkutano wa hadhara mjini Songea, Ruvuma, ikiwa ni sehemu ya ukamilishaji wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini (Mtwara, Ruvuma na Lindi).
Mapokezi makubwa (maandamano) yataanzia eneo la Bomba mbili. Mbali ya ku-set agenda za masuala mbalimbali, kisiasa, kijamii na kiuchumi, ambayo CHADEMA inasimamia kwa ajili ya Watanzania, pia atazungumzia masuala kadhaa, zikiwemo kauli za Mzee/Viongozi Wastaafu (ref. Mwananchi ya leo) kuwa wanapaswa kuwa statesmen, hasa katika kushauri taifa kushughulikia primary contradictions kwa ajili ya kutatua matatizo yanayoikabili nchi na Watanzania, badala ya (wao) kutumika kufanya propaganda kwa kuzungumzia secondary contradictions (mfano suala la amani linafanyiwa propaganda sana), huku taifa likiangamizwa na CCM.
YANAYOJIRI
T2015CDM - 0
SAFI SANA TUPE MAPICHA
Hapa wapi Mbulu au Dongobesh?
Acha kejeli,watu wako serious halafu wewe unaleta mahoka,sio poa kabisa!DUH! pole mkuu kwa kukatiza ibada yako ya swaumu,ila hapa tunajadiliana kwa hoja sio kwa vurugu!
Ramadan Kareem!
mkuu sijamkejeli mtu ila namuomba radhi kwa kuwa post yangu ilimvurugia ibada yake ya toba!sasa wapi nimeleta mahoka?nafikiri wewe unataka kunichonganisha tu na members wa humu ndani !then naona leo umenipania sanaaaaAcha kejeli,watu wako serious halafu wewe unaleta mahoka,sio poa kabisa!
Hamsemagi ukweli,ila nadhiri huwa zinawasuta mpaka mnaonyesha muelekeo wa kazi zenu au kile mnachokifanya,ukishaonja nyama ya binadamu huwezi kuacha hata siku moja.mkuu mimi ni mwananchi wa kawaida tena mtoto wa mstaafu wa jumuiya ya africa mashariki! sio mlengo wa chama chochote kile cha siasa,ila napenda taifa langu tanzania
Usikimbie hoja, hao watanzania wamefanya nini cha kutoheshimu mwezi mtukufu. Syria na Misri ndio wameshindwa kuheshimu.Sijakuelewa msingi wa kuitaja Syria na Misri,hapa ninazungumzia Tanzania na watanzania.
poa ataku pm sasa hivi nimeshawasilana nae,akutafuteMkuu bahati mbaya mimi si mtu wa facebook, sina account huko. Unaweza ukani PM nakunipa contact zake tafadhali.
Tiba