LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Halafu cha kufurahisha zaidi, mikutano ya CCM inakuwa na watu wenye heshima zao. Huwezi kukuta vibaka na wahuni kwenye mikutano ya CCM.

Mikutano ya CHADEMA inajaa wahuni na vibaka kwasababu wanajua muda wowote "kinanuka" kwahiyo watapata nafasi ya kuiba.
 
Mambo ilikuwa mwanza leo jana wanamume wa kazi walipiga kazi dodoma leo mwanza,morogoro hakukua na issue zaidi ya kuipa promo chadema lazima tuizike ccm 2015.
 
Kama kuna propaganda za kudanganya wananchi sasa tumebaini. Nimeangalia mkutano wa ccm morogoro hakuna ubishi kinana na nape wameizika chadema morogoro. Sasa tunaona juhudi za kulaghai watanzania ambao hawakuona hiyo tsunami. Akili ya kudanganywa changanya na ya kwako angalia television yako achana na maoni ya kupangwa

TAKE THAT hapo HAKUNA DIAMOND... Hakuna PESA za Makatibu Kata; Malori na V-Khanga na V-Tisheti vya CCM - NI MWANZA MKUTANO wa CHADEMA

400741_504897529557565_1750389005_n.jpg
 
mkubwa jaribu kuangalia huo mkutano na utaona kuna malori na mabasi yamepaki pemben then conclusion ni kua weng wametolewa mbali na kuletwa na magari ya CCM na hao wahudhuriaj wana posho tofauti tofauti
 
Kama kuna propaganda za
kudanganya wananchi sasa tumebaini. Nimeangalia mkutano wa ccm morogoro
hakuna ubishi kinana na nape wameizika chadema morogoro. Sasa tunaona
juhudi za kulaghai watanzania ambao hawakuona hiyo tsunami. Akili ya
kudanganywa changanya na ya kwako angalia television yako achana na
maoni ya kupangwa

Una akili timamu kweli wewe humo kichwani? ile ilikuwa tsunami...



Alafu Mungu alivyokuwa mkubwa akadondosha bonge la mvua ili wakome kabisa... Jangiri likabaki kusema "Jamani nawaomba msiondoke, namaliza sasa hivi, nawaomba sana msiondoke"...

Kwa kifupi leo Jangiri na wachumia tumbo wenzake wamedhalilika sana...

Ccm wamepanic - Dr. Slaa
 
TAKE THAT hapo HAKUNA DIAMOND... Hakuna PESA za Makatibu Kata; Malori na V-Khanga na V-Tisheti vya CCM - NI MWANZA MKUTANO wa CHADEMA

400741_504897529557565_1750389005_n.jpg

Kwa hao watu unaowaona hapo kuna mpiga kura hapo? Au wamekuja kushangaa kama wale walioenda kushangaa watu wa kufikirika walionasana pale Temeke Hospital? Kamuulize Odinga kilichomkuta Kenya na umati wake wa kwenye mikutano.
 
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM

.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka

.Mchakato wa katiba unaenda vizuri, CDM ni vigeugeu walidai kama wangepata nafasi ya kushika dora wangebadilisha katiba ndani ya siku 100 huku wakisaau kuwa katiba ni ya watanzania na sio ya CDM kwani siku 100 tu hutawezaje kuwafikia watanzania ukapata mawazo yao

.Watanzania waaswa kutotumika vibaya kwa wanasiasa kama kushiriki migomo, fujo na machafuko kwani haina tija kwa taifa letu kwani viongozi wa CDM wanataka kutawala kwa mabavu huku wakidai nguvu ya umma wakati nguvu ya umma ipo kwenye sanduku la kupigia kura

.Mboye anachochea migomo ya vyuo vikuu wakati yeye alipata ZERO kidato sita kwa hiyo haoni umuhimu wa elimu ya chuo kikuu, nae MNYIKA kumbe alidisco UDSM ila yuko msitari wa mbele kwa migomo ya vyuo vikuu ili tupate taifa la wajinga

Mbona na NOPE pia alipata ZERO form Four NSUMBA?
 
Kama kuna propaganda za kudanganya wananchi sasa tumebaini. Nimeangalia mkutano wa ccm morogoro hakuna ubishi kinana na nape wameizika chadema morogoro. Sasa tunaona juhudi za kulaghai watanzania ambao hawakuona hiyo tsunami. Akili ya kudanganywa changanya na ya kwako angalia television yako achana na maoni ya kupangwa

soma alama za Nyakati,... Badilika penda Maendeleo. Nchi Imedumaa wewe unaona sawa tu -
 
halafu cha kufurahisha zaidi, mikutano ya ccm inakuwa na watu wenye heshima zao. Huwezi kukuta vibaka na wahuni kwenye mikutano ya ccm.

Mikutano ya chadema inajaa wahuni na vibaka kwasababu wanajua muda wowote "kinanuka" kwahiyo watapata nafasi ya kuiba.

unajidanganya mzee chadema iko mioyoni mwa watu sio kadi hata kinana mzee wa tembo analijua hilo ndio maana hotuba yake yote leo imejaa chadema tu.
 
mimi nilifikiri unaniambia ccm wametekeleza ahadi zao lukuki walizotoa 2010! Kumbe kama kawaida yao wamesomba watu kwa magari na kuwakalisha kwenye viti kwa posho ya elfu 5 na pia kuwadanganya na wabana sauti wa bongo flava? Kwa akili ya kawaida inasikitisha sana na sikutegemea kwa kijana wa karne hii kussuport upuuzi pasipo kujua nchi inakoelekea.
 
Kwa hao watu unaowaona hapo kuna mpiga kura hapo? Au wamekuja kushangaa kama wale walioenda kushangaa watu wa kufikirika walionasana pale Temeke Hospital? Kamuulize Odinga kilichomkuta Kenya na umati wake wa kwenye mikutano.

Kama Unavyojua NYAMAGANA na ILEMELA zilikwenda kwa CHADEMA... Mkoa wa Mwanza Ulikwenda kwa Dr. Slaa... Sasa hapo ndio Jasho la CHI CHI MAFISADI
 
unajidanganya mzee chadema iko mioyoni mwa watu sio kadi hata kinana mzee wa tembo analijua hilo ndio maana hotuba yake yote leo imejaa chadema tu.

Ulishawahi kwenda kwenye ibada halafu shetani asitajwe?
 
Kama Unavyojua NYAMAGANA na ILEMELA zilikwenda kwa CHADEMA... Mkoa wa Mwanza Ulikwenda kwa Dr. Slaa... Sasa hapo ndio Jasho la CHI CHI MAFISADI

Si mlisema mliibiwa kura?
 
Back
Top Bottom