Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Wassira atakuwepo Live acheni kupotosha.
Sawa Mamaa Wasira,thanks kwa taarifa..
Wassira atakuwepo Live acheni kupotosha.
Ndugu wanabodi, msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na Itv. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole. Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo. Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.KARIBUNI
lipumba mgombea urais mweledi kwa kugombea mara nyingi bila kufanikiwa na tundu lissu anayetusi waasisi wa taifa sijui wana lipi. ukawa wanadhani wana hatimiliki ya kutoa mwongozo kuhusu katiba mpyaNdugu wanabodi, msisahau kufuatilia mdahalo wa Kkatiba utakaorushwa live na Itv. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole. Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo. Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.KARIBUNI
Ndugu wanabodi, msisahau kufuatilia mdahalo wa Katiba utakaorushwa live na Itv. Watoa mada ni Prof Ibrahim Lipumba, Tundu Lissu, Ally Awadhi, na Humprey Polepole. Pia alialikwa Steven Wassira lakini inasemekana ameingia mtini, hatakuwepo. Naomba tufuatilie mdahalo huu kwani itatoa mwelekeo mzuri wa mwenendo wa Rasimu ya katiba ambayo sasa ipo njiapanda. Tuachane na propaganda za CCM ambao hawana nia nzuri na upatikanaji wa Katiba.KARIBUNI
Mbona kama wewe ndiye unayetapatapa mkuu. Kama mambo yote ni Dodoma, katika mchango wako hapo juu umesema Wasira atakuwepo leo. Kama hiki cha leo hakina mchango katika kupatikana kwa katiba nzuri, ''mtupori'' anakuja kufanya nini?Mambo yote dodoma, huku kwingine kote ni kutapatapa tu
Heading haiendani na content na pia hakuna kitu inaitwa new update hapa duniani ila kuna news updates
Tanzania bila CCM inawezekana....
Heading haiendani na content na pia hakuna kitu inaitwa new update hapa duniani ila kuna news updates
inawezekana kabisa ccm ni marehemu mtarajiwaHaiwezekani hata siku moja
Umeanza kuandika vizuri mwishoni umejiumbua kumbe na wewe ni wale wale mliotanua UPAWA kusubiri hela za maandamano kutoka kwa wafadhili.
hujui hata kuandika au umekurupuka kutoka chooniUmeanza kuandika vizuri mwishoni umejiumbua kumbe na wewe ni wale wale mliotanua UPAWA kusubiri hela za maandamano kutoka kwa wafadhili.
wassira amekubali atakuwa subiri tuone jinsi ccm watavyoumbuka leo kwenye mdahalo saa tisa itvWakuu hakuna mafisadi wa CCM watakaoalikwa ktk midahalo kama hii wakahudhuria. Alialikwa KINANA akatoa Udhuru na baada ya hapo wakamwalika Wassira, yule mzee wa Gombe, naye sasa ameingia mtini. MICCM YOTE NI MIOGA, hawana jipya..
itafika bado lisaa 1 moja tuuKwa nini haifiki saa9
akijaribu tundu lissu atamvunja meno yoteTyson hatarusha ngumi kweli!