Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,086
Husna Mbwambo anamuuliza Lissu, kama UKAWA wanaamini kuwa wanasimamia maoni ya wananchi walio wengi, wanaona vipi tabu ya kurejea bungeni kumaliza hatua ya tatu ili wawaachie wananchi katika hatua ya nne ili waamua aina ya muungano wautakao? Sijui kama Lissu atajibu swali hili