Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,548
Mimi nahisi alikua achukuliwe kikwete, huyu waasira mwepesi sana
Asee yule ndo mwepeeesi kabisa yaani hata njiwa ni mzito zaidi.
Mimi nahisi alikua achukuliwe kikwete, huyu waasira mwepesi sana
wasira anajibu maswali
wasira atazimia kwa maswali,kila mtu anambandika yeye tu
Hahahahahaaaaaaa! Mna hofu gani kama mnasema kuwa mpo wengi?Huko kwa wananchi ndio wanakotaka ccm, maana wenyewe ni mabingwa wa kuchakachua na kuiba kura.
Kwakweli Lissu kapwaya sana.Husna Mbwambo anamuuliza Lissu, kama UKAWA wanaamini kuwa wanasimamia maoni ya wananchi walio wengi, wanaona vipi tabu ya kurejea bungeni kumaliza hatua ya tatu ili wawaachie wananchi katika hatua ya nne ili waamua aina ya muungano wautakao? Sijui kama Lissu atajibu swali hili
Boya ndo wewe na UKAWA yakowe boya nimekuona.
we boya nimekuona.
Wassira ana majibu ya msingi sana. Ila kuna wengi hawataki kuukubali ukweliWaasisi waliamua kuwa masuala ya Tanganyika yatasimamiwa na serikali ya muungano kutokana na hati ya muungano-Wassira
Swali la mawaziri kashindwa kujibu
Kwakweli Lissu kapwaya sana.
Hakika Wassira ni mwamba!
Kweli kabisa Mkuu. Hakika kuna wengi hawataki kuusikia ukweli. Lissu anatokwa jasho kwa hoja za kweli za WassiraBoya kwa kusema ukweli! Muone lisu anavyotoka jasho.
Boya ndo wewe na UKAWA yako
Wassira hajashindwa swali hata moja nasubiri Lissu aseme ni kipengele gani kimeondolewa kwenye kanuni?Swali la mawaziri kashindwa kujibu