Mnaofuatilia huyo Wassira anashuka pointi gani?
Heheheeee....Tyson anapanic hatari...
Namuona mamDenyi kwenye mdahalo,
Analeta ubabe tuu...
Lissu ni kama kachanganyikiwateh,teh Lisu anagonganisha vichwa mawaziri wa sheria na fedha
Kwakweli Lissu na Lipumba wamebanwa sana!
Huyu mwenyekiti mbona anamsapoti sana Tyson
Kwakweli Lissu na Lipumba wamebanwa sana!