Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

wasira atawatoa jasho leo,maana huwa yuko sharp balaa
 
Ni kwenye mdahalo wa kuhusu rasimu ya katiba.Hana hoja mpya anabaki kutoa historia zilizofeli! source: nimo ndani ya mjadala.
 
Lipumba namuona anashindwa kabisa kutetea mfumo wao wa serikali tatu na badala yake anaanza kujadili mapato ya muungano
 
SW: Katiba inapatika kwa sheria inayozingatia mambo manne!
i) tume ya katiba mpya kukusanya maoni.
ii) maoni ya mabaraza.
iii) bunge maalum la katiba mpya
iv) kura toka kwa wananchi.

Anamshangaa TL kusahau mambo haya ya msingi.

Hakika Wassira kaonyesha weledi mkubwa kuliko Lipumba na Lissu.
 
Pro anakimbilia kueleza kama vile serikali 3 zimekubaliwa rather than namna Rasimu ilivyokuwa arrived at kama wasira anavyo argue
 
Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.

Kweli wewe ni ifweero.
Kila mtu anaangalia itv muda huu.
Wasira kila akisimama anazomewa !
Lipumba na Lissu wanashangiliwa sana !
 
Kweli ukawa hawana uwezo kwa wasira wanabwabwaja tu. Wasira juuuuuuu!
 
Mh steven wasira amewaambia ukawa kuwa hatua rasmi ya kupata katiba kwa sasa ni bungeni sio barabarani, wasiwadangnye wannchi. Wasira amesema rasimu ya warioba sio katiba halisi bali ninmapendekezo ya katiba. Lazima ijadiliwe penye mapungufu parekebishwe.

Hadi unatia huruma kwani huna hoja wala huelewi kugaragaza ni vipi. Jaribu kuwa rational bila kufungamana
 
Bunge lipi hilo ? Litakalotoa katiba mpya. hili la intarahamwe. Linalojadili katiba ya ------ aloweka msimamo wa chama chake mbele
 
wasira atawatoa kamasi wasipoangalia,jamaa kwa hoja huwa hajambo sana.
 
Lipumba namuona anashindwa kabisa kutetea mfumo wao wa serikali tatu na badala yake anaanza kujadili mapato ya muungano

Alikuwa anatoa mfano namna ya BMK linavyotakiwa kufanya kazi.....na sio kunyonga moyo wa katiba
 
Back
Top Bottom