Live Updates: Azam & Simba Matches

Live Updates: Azam & Simba Matches

Kumbe siku hizi timu ikifungwa tu, ni mgomo baridi kwa wachezaji? sio suala la kuzidiwa uwezo tena!
 
Mkuu ndomyana matokeo ya Mbeya city na Mtibwa ni muhimu sana..ebu mwaga vitu.
 
Last edited by a moderator:
Jana liverpool wameniharibia siku na hawa mgambo ndio wanataka kuchafua kabisa.
Mwenzako Jana Majogoo yalinifanya nikae kiti kirefu kujipongeza nakusahau mateso yote yasababishwayo na MOYES.
 
duuu kwani timu ikifungwa ndio mgomo au kutokuwa makini...

They are born to always win, wakifungwa lazima waibuke na visingizio. Sikusikia habari ya mgomo kabla ya matokeo haya, baada ya bao tumeambiwa mgomo, likiingha jingine au hata wakisawazisha sijui tutaambiwaje; yetu masikio. Mgambo wakaze wasisawazishe hao Simba hadi mwisho na kulowanisha kibarua cha Logaloga.
 
They are born to always win, wakifungwa lazima waibuke na visingizio. Sikusikia habari ya mgomo kabla ya matokeo haya, baada ya bao tumeambiwa mgomo, likiingha jingine au hata wakisawazisha sijui tutaambiwaje; yetu masikio. Mgambo wakaze wasisawazishe hao Simba hadi mwisho na kulowanisha kibarua cha Logaloga.
Kwani leo Tambi hayupo?
 
Back
Top Bottom