Tatizo la mikia ni kelele nyingi, ile timu kwa mtu anayechambua mpira haina lolote. Bahati mbaya sana hata kocha wao sijui ameletwa kwa ajili ya Yanga mie sielewi manake kutwa kucha yeye anaongelea Yanga tu. Juzi wakati wnakwenda Mtibwa yeye akabaki Dar eti kuisoma Yanga, halafu anatamba eti dawa ya Yanga anayo, wakati anaenda kupambana na Mtibwa ni akili hiyo? Huyu amekwisha cheza na Yanga si bora Mholanzi ndo angekuwa anawahangaikia Simba manake hajacheza nao? dah! kipondo kingine mbeya, lazima mkalishwe tuuuuuuu!