Live Updates: Azam & Simba Matches

Live Updates: Azam & Simba Matches

tunajua kuna mgomo baridi dhidi ya kocha
Wachezaji wetu hawajielewi, wao wanadhani wanamkomoa kocha? Sana sana tunaoumia ni mashabiki na wanachama wa Simba na sio kocha. Na kama wataendelea kufanya vibaya watu wataacha kwenda uwanjani na wao posho zao lazima zipungue kwa hiyo hasara ni yao wenyewe.
 
Halafu hawa wachezaji wanacheza ovyo kweli, muda wote wanashambuliwa wao tu.
 
Wachezaji wetu hawajielewi,
wao wanadhani wanamkomoa kocha? Sana sana tunaoumia ni mashabiki na
wanachama wa Simba na sio kocha. Na kama wataendelea kufanya vibaya watu
wataacha kwenda uwanjani na wao posho zao lazima zipungue kwa hiyo
hasara ni yao wenyewe.

Wachezaji wa bongo bhana. Sasa huo si ujinga? Wanachama wawatembezee bakora.
 
Azam wapo mbele kwa goli 1-0 lililofungwa na Kipre Tchetche dakika ya 41 sasa ni dk ya 45 na ni mapumziko
 
Back
Top Bottom