Kama kawaida yako jamaa yangu daa unapenda sana ligi haya basi kutoka apa jf ni bila bila mpaka sasa
Hahahahaha!Hapa mbeya au siyo?!mie naona hapa ni JF,anyway napita!
Hahahahaha!Hapa mbeya au siyo?!mie naona hapa ni JF,anyway napita!
Ngapi ngapi??
Halafu jamaa hawafungiki mpaka wawepungufu. Ukibisha waulize magalasa wa Uturuki.Wakitoka Tanga wanaenda mbeya kwa wapiga nyundo
Hao wagonga nyundo nasikia ni n.y.oko sana wanapokua kwao!
Na mm niltaka kuuliza hivyo, "mshambuliaji hatari kuwahi kutokea kwenye ligi ya tz" si huwa anafunga wanajeshi tu.Kwani leo Tambi hayupo?
Kama kawaida yako jamaa yangu daa unapenda sana ligi haya basi kutoka apa jf ni bila bila mpaka sasa
Mbona mechi ya Kwanza walipokua kuminamoja hamkuwafunga? Ushahidi ule ni warefa sio Yanga.Tulibebwa???,moja tu la ukweli.
Halafu jamaa hawafungiki mpaka wawepungufu. Ukibisha waulize magalasa wa Uturuki.
Bilakusahau na penati kama Soldado.Na mm niltaka kuuliza hivyo, "mshambuliaji hatari kuwahi kutokea kwenye ligi ya tz" si huwa anafunga wanajeshi tu.
Halafu jamaa hawafungiki mpaka wawepungufu. Ukibisha waulize magalasa wa Uturuki.
Mnyama ni mnyama tuu, simba hata kama ni Mzee usije ukadhani mbwa utaumia MKUU, nawatakia simba ushindi MNONO.
Sasa we unafikiri wangetimia wangeshindwa kurudisha? Mshukuruni mwamuzi wa mchezo la sivyo na nyinyi mungevunja viti kama hao wenzenu wa mtaa wa pili.Goli liliingia baada ya jamaa kutolewa au?
Simba wakipoteza hii mechi natangaza kuwa shabiki mfu wa simba kuanzia jioni pale mpira utakapoisha na sitakaa niende uwanjani tena kuangalia mechi yoyote ya Simba wala kukaa kwenye TV kuangalia wakati Simba inacheza.