Live Updates: Azam & Simba Matches

Live Updates: Azam & Simba Matches

Sasa Ivo Mapunda nadhani anatakiwa kukaa benchi maana anadaka mipira halafu anaachia.
 
tunajua kuna mgomo baridi dhidi ya kocha
 
mandieta vipi mkuu. Uliwatabiria bao Mgambo tangu dak. 14 hatimaye likapatikana dk. 28 nini siri ya utambuzi huu? Ulienda Kwa Msisi?
 
Last edited by a moderator:
Huko Tanga kazi ipo. Chamazi vipi wakuu mbona kimya?
 
Back
Top Bottom