Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Mkuu nakushauri kamata dakika zisiende.Mnyama ni mnyama tuu, simba hata kama ni Mzee usije ukadhani mbwa utaumia MKUU, nawatakia simba ushindi MNONO.
Mkuu nakushauri kamata dakika zisiende.Mnyama ni mnyama tuu, simba hata kama ni Mzee usije ukadhani mbwa utaumia MKUU, nawatakia simba ushindi MNONO.
Simba wakipoteza hii mechi natangaza kuwa shabiki mfu wa simba kuanzia jioni pale mpira utakapoisha na sitakaa niende uwanjani tena kuangalia mechi yoyote ya Simba wala kukaa kwenye TV kuangalia wakati Simba inacheza.
Dak. 51 Mgambo 1-0 Simba, haka kawimbo ni kazuri na katamu kama kharua!
Mkuu kauli nzito hiyo, kufungwa kawaida mkuu.Simba wakipoteza hii mechi natangaza kuwa shabiki mfu wa simba kuanzia jioni pale mpira utakapoisha na sitakaa niende uwanjani tena kuangalia mechi yoyote ya Simba wala kukaa kwenye TV kuangalia wakati Simba inacheza.
Uyo na Mzee akilimavi lao moja.Kama kawaida yako jamaa yangu daa unapenda sana ligi haya basi kutoka apa jf ni bila bila mpaka sasa
wote YANGA hao, haina mbaya!Uyo na Mzee akilimavi lao moja.
Potezea bana!
Apa mbeya ni bilabila mtibwa na mbeya city
Poa kaka ila apa mbeya malango yote ni magumu yani bilabila
Simba wamemaliza subs zote, si mchezo aisee.
Dak. 70 Mgambo 1-0 Simba.