gool kingwande anafunga simba 1 kagera sugar 1
Dk 90+5
Simba SC 1 - 1 Kagera S
Salum Kanoni anaifungia Kagera bao kwa penati
Huyu refa matatizo kweli, kwanza muda ulikuwa umeshaisha, pili jamaa amekwatuliwa nje ya 18, anyway yeye ndo mwamuzi wa mwisho.
viti vimeng'olewa uwanja wa taifa