sasa ni zamu ya January- anasema tarehe 25/10/2015 nchi itakuwa njia panda na kuna njia mbili watanzania wanataka kuzichagua (1) Njia ya CCM imeandikwa amani, upendo na maendeleo ( 2) Njia ya pili ni ya Ukawa imeandikwa Vurugu, Udini, Ufisadi na ukanda. Watanzania mmetakiwa kuchagua njia ya ccm ambayo ni ya amani, upendo na maendeleo
Hivi mnadanganyia watt pipi au mnajaribu kunadi sera kwa wapiga kura shame on you!wakenya wanatuita wadanganyika kwa sababu yenu safari hii hata mkipiga kelele mpaka mtage hatukubali!ni lzm muachie madaraka...,hakuna mtanzania anayejielewa asiye na maslahi na nyie atawapigia kura,mwisho wenu ushafika!