3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.
6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli
Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida
DR MAGUFULI ANASEMA
1. Anapenda amani na umoja wa kitaifa
2. Anawashangaa viongozi kama Sumaye na Lowasa waliokaa madarakani kwa zaidi ya miaka 10 na kuserma serikali haijafanya kitu ilihali wanayaona maendeleo yalivyo hivi sasa
3. Ataufanya Singida kuwa Mji mkuu wa Biashara Tanzania na Singida itakuwa ya viwanda