Live: Update mkutano wa DR magufuli -Singida Mjini

Live: Update mkutano wa DR magufuli -Singida Mjini

1. Chilolo amchana Lowasa mbaya

2. Live Mwigulu akiwachana Ukawa

3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.

6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli

Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida

HIVI HAWA JAMAA,BILA KUMTAJA LOWASSA KAMPENI ZAO HAZIWEZI KWENDA??
AJABU SANA!!!
WANAZIDI KUMPAISHA.
SISI WA TZ TUNABAKIA KUJIULIZA KWA NINI WAMSHAMBULIE? LAZIMA KUNA WALAKINI YAWEZEKANA NI MTU SAFI!
ii
 
Mwambieni kwanza mama yenu mgombea mwenza aache kusagana na akina wema
 
kana paka mmoja inaitwa bulembo inajitahidi kweli kutafuta machafuko nchini kwa kuchimba udini. kutukana watu matusi ya nguoni na kudhalilisha utu. Nec inapaswa kumwangalia mtu huyu kwa jicho la tatu kabla hajafanikisha kiu yake ya kuzimwaga damu za watanzania. kwa jinsi ninavyouona uelewa wa watu sasa hivi kama bulembo ataendelea na azma yake mbovu vita vya wenyewe kwa wenyewe ni dhahiri. chukueni maneno yangu mtajaniambia...
.

haa haa huyo ni darasa la saba la zamani. lengo lake ni kutaka kuwagawa waislamu ili waipe kura ccm. mwaka huu hatugawanyiki kamwe. kura ni kwa lowasaaa....
 
Hatutaki makamo wa Rais msagaji, malaya anayelala na vijana wadogo wa chuo cha CBE Dodoma.. Kama ndoa yake na mumewe imemshinda kuimarisha muungano ataweza
 

Unawaita waje kufuta thread yako inayochochea udini au?? Mwambieni huyo mama yenu aache kusagana na kina snura na shilole.. Bahati mbaya video tunazo na tutazisambaza watanzania wajionee..
 
3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.

6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli

Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida

DR MAGUFULI ANASEMA

1. Anapenda amani na umoja wa kitaifa

2. Anawashangaa viongozi kama Sumaye na Lowasa waliokaa madarakani kwa zaidi ya miaka 10 na kuserma serikali haijafanya kitu ilihali wanayaona maendeleo yalivyo hivi sasa

3. Ataufanya Singida kuwa Mji mkuu wa Biashara Tanzania na Singida itakuwa ya viwanda

maghufuli kama anapenda umoja wa kitaifa mbona hutumia muda mwingi kujinadi kwa kilugha kuliko kiswahili? mbona hamkemei bulembo anayelazimisha kuwachochea watu kwa udini?
 
Hatutaki makamo wa Rais msagaji, malaya anayelala na vijana wadogo wa chuo cha CBE Dodoma.. Kama ndoa yake na mumewe imemshinda kuimarisha muungano ataweza

haa haa huyu mama hafai kabisa kama ndo anafanya haya...
 
sasa ni zamu ya January- anasema tarehe 25/10/2015 nchi itakuwa njia panda na kuna njia mbili watanzania wanataka kuzichagua (1) Njia ya CCM imeandikwa amani, upendo na maendeleo ( 2) Njia ya pili ni ya Ukawa imeandikwa Vurugu, Udini, Ufisadi na ukanda. Watanzania mmetakiwa kuchagua njia ya ccm ambayo ni ya amani, upendo na maendeleo
Mwambie tutachagua ukawa tu. Hata wawe na madhambi gani.
 
1. Chilolo amchana Lowasa mbaya

2. Live Mwigulu akiwachana Ukawa

3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.

6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli

Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida

Ningekuwa wewe hata nisingejivunia kuandika kitu kama hicho. Kwa hiyo nyie kazi yenu ni kuchana watu tu ndo mnachoweza! Hopeless
 
Ukiona chama kinajikita kwenye udini na ukabila ujue kimezidiwa, wakatoliki waislamu hawana maatizo na walutherani ccm mnalazimisha kura kwa kutugawa shame upon you lakini ni matokeo ya kukosa watu wenye busara na kubakia na nape na january wema na anti ezekiel

mkuu kila mwaka wa uchaguzi ccm hutumia dini, ukabila na uchafu mwingine kuomba kura....mwaka huu tunakwenda na lowasaaa...
 
haa haa huyo ni darasa la saba la zamani. lengo lake ni kutaka kuwagawa waislamu ili waipe kura ccm. mwaka huu hatugawanyiki kamwe. kura ni kwa lowasaaa....

ooh my god, darasa la saba? ndio maana nimeshindwa kumtofautisha na wale vinara wa mihadhara ya uchochezi wa kidini..... kwa kiwango hicho cha elimu namsamehe bure,
.
 
1. Chilolo amchana Lowasa mbaya

2. Live Mwigulu akiwachana Ukawa

3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.

6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli

Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida

Hizi Ndio Sera? Nyerere Angekuwepo Angewatembezea Bakora Hawa, Pambafu sana.
 
Leo pamoja na kwenda wote bado watu si wengi
 
Unawaita waje kufuta thread yako inayochochea udini au?? Mwambieni huyo mama yenu aache kusagana na kina snura na shilole.. Bahati mbaya video tunazo na tutazisambaza watanzania wajionee..

Mkuu. Embu Funguka Vizuri Maana ccwengine Hatujui Yanayoendelea juu ya Huyu Mama Jamani.
 
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Twende na lowassa 2015 kwa mabadiliko ya kweli
 
Hatudanganyiki hata kidogo..mbona January analeta ngonjera za kitoto hivo?
Halafu washa2ona watz cjui mazuzu!
Waliyoyafanya wanataka wayafiche Kwa kuleta habari za udin ,ukanda vi2 ambavyo hata havipo...
Mimi Niko ndani ya rock city na wanangu ...wasukuma halal 2namchagua lowassa ...haya mambo alishayamalz mwalm..wanahubiri vitu gan?
Shame upon zem
 
Mkuu. Embu Funguka Vizuri Maana ccwengine Hatujui Yanayoendelea juu ya Huyu Mama Jamani.

Huyo mama ni muhuni ndio maana hata wamama wanaojielewa wa CCM hawatembei nae.. Sisi ambao tumebahatika kumjua tunaujua uhuni wake tangia akiishi Uingereza mpaka alivyorudishwa hapa Tz.. Ndio maana unaona kwenye kampeni zake anatembea na machangudoa kama kina wema, shilole na wengineo.. Ni msagaji na mnunuaji mkubwa wa serengeti boys.. Hotel anayolalaga pale Dodoma kipindi cha bunge vijana wanapishana mlangoni kila siku.. Hakuna mama anayejielewa CCM anaweza ambatana na huyu kwenye kampeni zake. Hutokaa uone
 
Back
Top Bottom