Mkuu kwa sasa ADUI NAMBA MOJA wa Taifa hili ni CCM, Tushirikiane kumuondoa mnyonyaji huyu wa Mali ya UMMA.
Ikatae CCM, ili uweze kuikataa KATIBA YA CHENGE NA SITTA. Kwa manufaa yetu sote na manufaa ya vizazi vijavyo.
Usihofu mkuu tulishaikataa CCM zamani hasa kipindi cha escrow,kipindihiki watackia tu ela za mboga,na nyoka wa makengezanae atasikiatu vijisenti.CCM bye.