Now days wanafanya kweli, na madhara yake ni makubwa.
Sijui kwanini watu wanataka kuonana.
Mambo yetu yalikuwa yanaishia hapa hapa.
Hata tukikutana zile get together parties za
Mchambuzi hakukua na ulazima wa kusema ID yako ya JF.
Things were bam bam...