Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima


nakubaliana kabisa na maamuzi ya tume.
asanteni sana.
 
Last edited by a moderator:
nakubaliana kabisa na maamuzi ya tume.
asanteni sana.
uran haya sio maamuzi ya tume,si unaona hata sahihi sio?Mwenyekiti atakuja kutoa tamko.Hii ni kwa mujibu wa teknolojia,utaalamu umeonyesha hauna hatia,ila nakuonya ubadilishe password na uhakikishe haiibiwi tena!
 
Last edited by a moderator:
uran haya sio maamuzi ya tume,si unaona hata sahihi sio?Mwenyekiti atakuja kutoa tamko.Hii ni kwa mujibu wa teknolojia,utaalamu umeonyesha hauna hatia,ila nakuonya ubadilishe password na uhakikishe haiibiwi tena!

hewaa..asante mkuu kwa kuipenda ndoa yangu.
my wife, come this way!!
i love u
 
Last edited by a moderator:
anakula vizuri hajabadilika japo stress zinamfanya anaharisha sana.
ni muoga mno

Jirani hatuonani, za weekend. Sasa mimi naona shemeji yetu uran kajiunza.
Shost yetu Valentina amsamehe na arudi kwenye ndoa yake.
Ndoa ni uvumilivu sana, kuna milima, mabonde na tambarare. Uran anampenda sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…