Kwani ukitajwa ndio lazima uje? Hakuna aliyekwita uje kuwa jenereta hapa, sisi tumetulia na waume zetu na tunapenda sana, tena tunawapenda.
Wewe fanya promotion ukimaliza utalala, bahati yako leo umetukuta na akili za mchana, subiri ziwe za usiku utajutraaaa.
Mwache Rich Pol aje aseme mwenyewe, mimi uliposhindwa ile interview nilimalizana nawewe siku ileile.