Eheee bebii miss neddy nilikuwa nakusubiri kwa hamu tangu dada yangu amu na rafiki yake Arabela walipo wasilisha wasifu wangu kwako! Nimekubaliana na maelezo yao maana mawifi wakikupenda ujue uko sahihi.... karibu kwangu
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Hahahaaa kishanicall angalau nimepata tabasamu. Mpango wa jenereta nimelisimamisha kwanza, ilibaki kidogo nimuue kwa presha mume wangu. Hakuamini kama nimimi ndio nasema vile.
Kuna mtu nammiss sana, nawezaje kuishi hivi?
Hata nilivyofanya ni kwasababu nakumiss ujue. Najua uko busy sana sana ila ujue tu ni jinsi gani nakumiss my honey.
Jamani sijui kama nitafika hata July nahisi nita RIP tu, nimemtongoza nani tena? Nakuapia you're the only one for me! Unataka nifanye nini ndiyo uamini nakupenda sweet heart??!.
Jamani sijui kama nitafika hata July nahisi nita RIP tu, nimemtongoza nani tena? Nakuapia you're the only one for me! Unataka nifanye nini ndiyo uamini nakupenda sweet heart??!.
Mbona sijarusha ndoano kwa mtu yoyote? Nakuletea na simu zangu ushinde nazo uone kama utapokea simu au SMS ya msichana! Pole sana honey unaumwa nini tena? Unaendeleaje? Naomba nije nikupeleke hospital!!m