Yaani natamani nije sasa hivi nikutoe, nikuambie maneno mazuri, huku tunakunya wine ktk mwanga hafifu na mezani kwetu kuna UA jekundu linanukia, huku nakuangalia ktk sura yako ulivyo mrembo.
Yaani natamani nije sasa hivi nikutoe, nikuambie maneno mazuri, huku tunakunya wine ktk mwanga hafifu na mezani kwetu kuna UA jekundu linanukia, huku nakuangalia ktk sura yako ulivyo mrembo.
Nikiwa na wewe wala sita Zima simu yangu au kuiacha silent! Nitakupa na password zote, utakuwa na access zote za kwangu, ila Nina wivu sana japo siwezi kuthubutu hata kukupiga kofi.
Nikiwa na wewe wala sita Zima simu yangu au kuiacha silent! Nitakupa na password zote, utakuwa na access zote za kwangu, ila Nina wivu sana japo siwezi kuthubutu hata kukupiga kofi.
Hivyo hivyo tu, tutajua mbele ila nitakulinda, sita kupigia simu ukiwa nae kwani akikupiga nitashindwa kuvumilia honey, haya utani save vipi ktk simu yako?
Hivyo hivyo tu, tutajua mbele ila nitakulinda, sita kupigia simu ukiwa nae kwani akikupiga nitashindwa kuvumilia honey, haya utani save vipi ktk simu yako?