Utakapo kujua hali yang mimi sijambo,hofu yangu ni wewe ulie mbali na upeo wa macho yangu.Usiku silali,nkilala nakuota wewe,nikinywa maji nakuona kwenye glass,ukila wewe mimi nashiba,nakupenda sana,.........
Nilijua tu lazima ukatibiwe bush babu yangu hakosei, alikukabidhi mshipa kilo 5, pole sana najua hujapona, omba msamaha na acha kuzengea vitu vya watu.