Mambo matano kutoka Namibia ambayo ni funzo kutoka kwa Stars

Mr Alpha

Senior Member
Jul 31, 2018
195
522
1. Ukabaji wa kasi
Namibia kila muda wakiwa hawana mpira hawakuwapa nafasi Tunisia kucheza watakavyo bali walihakikisha wanakaba kitimu na kuwanyima uhuru Tunisia kutengeneza mashambulizi makini

2. Mashambulizi ya kiakili
Namibia kila walipopata nafasi kukaribia lango la Tunisia hawakuwa na panicking au kubutua ovyo walitulia na kufanya mashambulizi ya maana. Hiki kitu taifa stars haina kabisa mara nyingi wakikaribia lango la adui wanapoteana wenyewe hawajui nn cha kufanya

3. Kutokuchoka
Namibia ni kama walikuwa wanapigana jihadi jana maana dakika zote 90 hakuna mchezaji aliyekuwa amekata pumzi wote walikuwa na physical fitness Ile ile mikimbio yao ilikuwa hai muda wote na kuwanyima kabisa nafasi Tunisia. Hiki kitu taifa stars huwa haina kuna muda wachezaji wetu huwa wanatepeta kabisa nadhani idara ya Fitness wajitafakari mapema

4. Marking
Mabeki wa Namibia walijitahidi mno kufanya marking dhidi ya washambuliaji wa Tunisia na kuweza kudhibiti mianya yote ya penetration passes au crosses hivyo kuua mipango mingi ya mashambulizi ya Tunisia

5. Nidhamu mchezoni
Namibia walijitahidi mno kuepuka rafu za kipuuzi hata Tunisia walipojaribu kuwavuta kwenye mfumo. Sikuzote Waarabu ni wajanja sana wakiona unabana sana wanakutafutia red card Ila namibia mda wote wa mchezo walieka nidhamu ya kutosha. Taifa stars tuna vijana ambao kukwazika ni wepesi kutokana na kukosa uzoefu wanapaswa kuonywa sana

Mlio karibu na benchi la ufundi taifa stars wafikishieni ujumbe huu mtakuja kunishukuru
 
Umechambua vizuri

75% ya wachezaji wa stars ni wachovu firness ni poor .
25% wapo vizuri lakini kwakuwa wenzao ni wachovu basi na hao 25% ikifika muda wanachoka kwa kuwabeba hao 75%.

Kocha baada ya kuchagua wachezaji wake 27 akiwa misri analalamika eti Baadhi ya wachezaji aliowachagua Wameshindwa kuleta alichotarajia na hawezi kuwarudisha Tena Tanzania na kuwarudisha aliowatoa.
Benchi la ufundi uwezo ni Mdogo .
 
Hawa wajukuu wa Bush man wa Gods must be crazy salinifurahisha sana. Sidhani kama Taifa stars wana cha kujifunza, Kalia tayari anatishiana maisha na Amrouch nadhani tusubiri tu kupata tulichojaaliwa
 
Sasa mzee unatuambia ssi as if ss ndio Leo tuko uwanjani live live

Fanya kuandika email muandikie amroche awapsomee vijana wake
 
Umechambua vizuri

75% ya wachezaji wa stars ni wachovu firness ni poor .
25% wapo vizuri lakini kwakuwa wenzao ni wachovu basi na hao 25% ikifika muda wanachoka kwa kuwabeba hao 75%.

Kocha baada ya kuchagua wachezaji wake 27 akiwa misri analalamika eti Baadhi ya wachezaji aliowachagua Wameshindwa kuleta alichotarajia na hawezi kuwarudisha Tena Tanzania na kuwarudisha aliowatoa.
Benchi la ufundi uwezo ni Mdogo .
Kwa kauli hiyo atakuwa anajiandalia sababu ya kujitetea tu.

Kiukwel Afcon hii kwanza inatuonesha soka la Africa limekuwa sana na pia aliejiandaa vizuri atapata matokeo mazuri pia.
 
Kocha baada ya kuchagua wachezaji wake 27 akiwa misri analalamika eti Baadhi ya wachezaji aliowachagua Wameshindwa kuleta alichotarajia na hawezi kuwarudisha Tena Tanzania na kuwarudisha aliowatoa.
Benchi la ufundi uwezo ni Mdogo
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
Kwa kauli hiyo atakuwa anajiandalia sababu ya kujitetea tu.

Kiukwel Afcon hii kwanza inatuonesha soka la Africa limekuwa sana na pia aliejiandaa vizuri atapata matokeo mazuri pia.
Imekua tofauti...hakuna cha timu tulizozizoea hapa kila mtu jinsi alivyojiandaa
 
Imekua tofauti...hakuna cha timu tulizozizoea hapa kila mtu jinsi alivyojiandaa
Kabsa kabsa.

Waliodhaniwa wachovu ndio wengine wamegeuka wababe na wababe wanaonesha uchovu.

Jana Namibia sio kushinda tu ila pia na ball kalionesha vivyo hivyo kwa Cape verde n.k.

Tanzania tukiondoa siasa kwenye mambo ya serious basi tutapiga sana hatua.

Maana hapa kuna watu wanasubiri ikitokea tumeshinda mechi sifa wampe raisi yaani maajabu kweli kweli.
 
Kabsa kabsa.

Waliodhaniwa wachovu ndio wengine wamegeuka wababe na wababe wanaonesha uchovu.

Jana Namibia sio kushinda tu ila pia na ball kalionesha vivyo hivyo kwa Cape verde n.k.

Tanzania tukiondoa siasa kwenye mambo ya serious basi tutapiga sana hatua.

Maana hapa kuna watu wanasubiri ikitokea tumeshinda mechi sifa wampe raisi yaani maajabu kweli kweli.
Inaboa sana..kwa sbb TFF hawana uhuru wao binafsi...sijui lini tutaifikia japo tuu kenya kwny mambo ya msingi kama demokrasia...tunasafari ndefu kwakweli
 
1. Ukabaji wa kasi
Namibia kila muda wakiwa hawana mpira hawakuwapa nafasi Tunisia kucheza watakavyo bali walihakikisha wanakaba kitimu na kuwanyima uhuru Tunisia kutengeneza mashambulizi makini
Beki ni mbovu sana, ndio maana hata wakipata goli huchukua si zaidi ya dakika 10, timu pinzani inarudisha goli. Hapa kwa leo tumeshachelewa, hawataweza kujirekebisha + Uzembe kati ya golkipa na beki.

3. Kutokuchoka
Namibia ni kama walikuwa wanapigana jihadi jana maana dakika zote 90 hakuna mchezaji aliyekuwa amekata pumzi wote walikuwa na physical fitness Ile ile mikimbio yao ilikuwa hai muda wote na kuwanyima kabisa nafasi Tunisia. Hiki kitu taifa stars huwa haina kuna muda wachezaji wetu huwa wanatepeta kabisa nadhani idara ya Fitness wajitafakari mapema
Taifa stars ni wachovu sana, kuanguka anguka na kutegemea huruma ya REFA. Hili waliache mara moja, mpira wa sasa hivi ni stamina, refa husema peta tu. Wajirekebishe leoooo!!!!!
4. Marking
Mabeki wa Namibia walijitahidi mno kufanya marking dhidi ya washambuliaji wa Tunisia na kuweza kudhibiti mianya yote ya penetration passes au crosses hivyo kuua mipango mingi ya mashambulizi ya Tunisia
Hili nalo ni Tatizo si kwa beki tu bali hata midfield. Kimsingi mpira wa sasa mkipoteza mpira tu wote mnakaba, sio mnasimama na kusubiri beki tu ndio wakabe. Na hii inahitaji STAMINA ambayo inakosekana kwa Taifa stars.
 
Kocha baada ya kuchagua wachezaji wake 27 akiwa misri analalamika eti Baadhi ya wachezaji aliowachagua Wameshindwa kuleta alichotarajia na hawezi kuwarudisha Tena Tanzania na kuwarudisha aliowatoa.
Benchi la ufundi uwezo ni Mdogo .
Anashindwa kumwita hata Kelvin John?!!
 
1. Ukabaji wa kasi
Namibia kila muda wakiwa hawana mpira hawakuwapa nafasi Tunisia kucheza watakavyo bali walihakikisha wanakaba kitimu na kuwanyima uhuru Tunisia kutengeneza mashambulizi makini

2. Mashambulizi ya kiakili
Namibia kila walipopata nafasi kukaribia lango la Tunisia hawakuwa na panicking au kubutua ovyo walitulia na kufanya mashambulizi ya maana. Hiki kitu taifa stars haina kabisa mara nyingi wakikaribia lango la adui wanapoteana wenyewe hawajui nn cha kufanya

3. Kutokuchoka
Namibia ni kama walikuwa wanapigana jihadi jana maana dakika zote 90 hakuna mchezaji aliyekuwa amekata pumzi wote walikuwa na physical fitness Ile ile mikimbio yao ilikuwa hai muda wote na kuwanyima kabisa nafasi Tunisia. Hiki kitu taifa stars huwa haina kuna muda wachezaji wetu huwa wanatepeta kabisa nadhani idara ya Fitness wajitafakari mapema

4. Marking
Mabeki wa Namibia walijitahidi mno kufanya marking dhidi ya washambuliaji wa Tunisia na kuweza kudhibiti mianya yote ya penetration passes au crosses hivyo kuua mipango mingi ya mashambulizi ya Tunisia

5. Nidhamu mchezoni
Namibia walijitahidi mno kuepuka rafu za kipuuzi hata Tunisia walipojaribu kuwavuta kwenye mfumo. Sikuzote Waarabu ni wajanja sana wakiona unabana sana wanakutafutia red card Ila namibia mda wote wa mchezo walieka nidhamu ya kutosha. Taifa stars tuna vijana ambao kukwazika ni wepesi kutokana na kukosa uzoefu wanapaswa kuonywa sana

Mlio karibu na benchi la ufundi taifa stars wafikishieni ujumbe huu mtakuja kunishukuru
Dah! Kwa bahati mbaya timu yetu haina jambo lolote la kujivunia kati ya hayo mambo 5 uliyo yaorodhesha. Wachezaji wengi tulionao wapo huko kwa ajili tu ya kushiriki mashindano! Na siyo kushindana.
 
1. Ukabaji wa kasi
Namibia kila muda wakiwa hawana mpira hawakuwapa nafasi Tunisia kucheza watakavyo bali walihakikisha wanakaba kitimu na kuwanyima uhuru Tunisia kutengeneza mashambulizi makini

2. Mashambulizi ya kiakili
Namibia kila walipopata nafasi kukaribia lango la Tunisia hawakuwa na panicking au kubutua ovyo walitulia na kufanya mashambulizi ya maana. Hiki kitu taifa stars haina kabisa mara nyingi wakikaribia lango la adui wanapoteana wenyewe hawajui nn cha kufanya

3. Kutokuchoka
Namibia ni kama walikuwa wanapigana jihadi jana maana dakika zote 90 hakuna mchezaji aliyekuwa amekata pumzi wote walikuwa na physical fitness Ile ile mikimbio yao ilikuwa hai muda wote na kuwanyima kabisa nafasi Tunisia. Hiki kitu taifa stars huwa haina kuna muda wachezaji wetu huwa wanatepeta kabisa nadhani idara ya Fitness wajitafakari mapema

4. Marking
Mabeki wa Namibia walijitahidi mno kufanya marking dhidi ya washambuliaji wa Tunisia na kuweza kudhibiti mianya yote ya penetration passes au crosses hivyo kuua mipango mingi ya mashambulizi ya Tunisia

5. Nidhamu mchezoni
Namibia walijitahidi mno kuepuka rafu za kipuuzi hata Tunisia walipojaribu kuwavuta kwenye mfumo. Sikuzote Waarabu ni wajanja sana wakiona unabana sana wanakutafutia red card Ila namibia mda wote wa mchezo walieka nidhamu ya kutosha. Taifa stars tuna vijana ambao kukwazika ni wepesi kutokana na kukosa uzoefu wanapaswa kuonywa sana

Mlio karibu na benchi la ufundi taifa stars wafikishieni ujumbe huu mtakuja kunishukuru
Para ya pili kutoka mwisho unamaanisha Nyeto na Dick wawe makini na rafu za kijinga

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom