WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Watu wanakosea sana wanapoanza kupiga siasa kwenye misiba! anyway,labda kwa kivuli cha utani wa jadi otherwise, sikutegemea watu waanze kupeana propaganda msibani!
R.I.P Mzee wetu, sote twapita duniani kwa zamu!!
R.I.P Mzee wetu, sote twapita duniani kwa zamu!!