Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,828
- 236,145
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Kwa hiyo wewe ulitaka wasupport chama gani ili muwaonee huruma?
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Kwa hiyo wewe ulitaka wasupport chama gani ili muwaonee huruma?
Hizo ni ajira za muda, na hii ndo picha halisi, whr we are katika suala la ajira. Inasikitisha!!!#Habaripicha Kutoka Benjamin Mkapa Stadium ndan na nje ya uwanja, Umati wa watu walioomba kusimamia uchaguzi Mkuu Oct 28, wakisubiri kufanyiwa usaili katika wilaya ya Temeke DSM.
Na hii ni asubuhi tu kumbuka huu umati ulikua unaongezeka kadri muda ulivyozidi kwenda#Habaripicha Kutoka Benjamin Mkapa Stadium ndan na nje ya uwanja, Umati wa watu walioomba kusimamia uchaguzi Mkuu Oct 28, wakisubiri kufanyiwa usaili katika wilaya ya Temeke DSM.
#uchaguzi2020
View attachment 1592094View attachment 1592095
Moshi mjini/KilimanjaroWilaya/jimbo gani mkuu?
Moshi mjini/Kilimanjaro
SMS,ila kuna ambao hawakutumiwa na wamefanya interviewMkuu umetumiwa SMS au mmeitwa Kwa njia gani?
95 ulilipwa 30k duhMbona hazibadiliki? Mwaka 1995 nilisimamia uchaguzi katika kituo cha kupigia kura. Malipo yalikuwa hayo hayo! Hali ni mbaya. Inaonekana hawa wote ni wategemezi - kwa wazazi, mashemeji nk. Cha ajabu utakuta 2/3 ya hao wana-support CCM. Ndio maana watu wengine hawawaonei huruma.
95 ulilipwa 30k duh
Kura zilikuwaje ? Raw dataTena nilikuwa mwanafunzi chuoni. Kwanza nililipwa za kuandikishwa wapigakura na baadae za kusimamia kituoni siku ya uchaguzi.
Hii hatari sheikh...vita ni vita muraah!!!!View attachment 1593951