Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

Usahili ipo kisheria ktk melekezo ya uchaguz, lazima uyasome ukiulizw unajib tu
 
Nawasihi neck, wateuwe zaidi chipukizi, maana wana uzalendo wa hali ya juu sana na pia UVCCM
 
Mbona hazibadiliki? Mwaka 1995 nilisimamia uchaguzi katika kituo cha kupigia kura. Malipo yalikuwa hayo hayo! Hali ni mbaya. Inaonekana hawa wote ni wategemezi. Cha ajabu utakua 2/3 ya hao wana-support CCM. Ndio maana watu wengine hawaonei huruma.
Hizi nafasi zamani zilikua zinatolewa kwa walimu wa shule ya msingi.

Na zile za sensa ya watu na makazi pia, sasa hivi wengi ni graduates
 
Kama utaratibu utakua kama huu was Leo. Wahi kufika mapema, kunywa maji mengi, andaa nguvu za kutosha!
 
#Habaripicha Kutoka Benjamin Mkapa Stadium ndan na nje ya uwanja, Umati wa watu walioomba kusimamia uchaguzi Mkuu Oct 28, wakisubiri kufanyiwa usaili katika wilaya ya Temeke DSM.
#uchaguzi2020
View attachment 1592094
IMG_20201006_140059.jpeg
 
Kwa hio foleni yote hioooooo atakayepata pesa ndefu ni elfu 70 kwa hizo siku 2 na ataepata pesa ndogo kabisa ni elfu 30 kwa hizo siku 2 sio?

Nalalamika sina viatu wenzangu hawana Miguu-Mwana FA

Sometimes tushukuru sana kwa maisha tuliyonayo maana inatisha sana.
Nme-edit angalia tena
 
Kwa hio foleni yote hioooooo atakayepata pesa ndefu ni elfu 70 kwa hizo siku 2 na ataepata pesa ndogo kabisa ni elfu 30 kwa hizo siku 2 sio?...
Kabsa mkuu muda mwingine unaweza lalamika juu ya ugumu wa maisha ila ukijaribu kuvaa viatu vya hao vijana wenzetu wanaopigishwa mstari kwa mshahara huo kwa siku mbili.

Huna budi kumshukru MUNGU na kutoa sadaka pale inapowezekana.
 
Cheki hapo juu.

Max:Tsh.35,000/day

Min:Tsh. 15,000/day
Ni 70K kwenye mchaanganuo kuna pesa tatu Nauri, Chakula na Posho 35K, 15K na 20K ungesoma Tangazo lao ungeona.
 
Back
Top Bottom