Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

Defines the rate of unemployment in Tanzania. Vijana wengi wako mtaani hawana kazi I.e graduates, F6 na F4 achilia mbali darasa la 7.
 
Msimamizi wa kituo jumla 105000, wasimamizi 1 na2 95000, karani 75000 kama sijakosea
Mkuu hapo kwenye karani sijajua ni jimbo gani.
Huku jimbo la kibamba na ubungo karani anajichukulia kitita cha 35000 tu posho ya kazi 20,000 na 15,000 ya chakula.
Hivyo viwango vingine sawa na hayo majimbo nilioyataja.
 
Duuh jana Ubungo/Kibamba mpaka baruti zilipigwa kutawanya watu
 
Ulisoma vibaya, hivyo viwango ni vya Msimamizi mkuu, Msimamizi msaidizi na Karani mwongozaji respectively per day, ila watalipwa kwa siku 2, 35x2=70, 20x2=40, 15x2=30.
Mkuu hapo nimechanganya kidogo posho karani mwongozaji ni 30,000 kwa siku moja na 15,000 ya chakula. Jumla elfu 45,000
Tangazo linasumbua kuattach maana ninalo hapa kwenye simu.
 
Ajira za miaka 5 iliyopita, nakwambia hata wakisema wanatafuta wazibua vyoo, uwanja utajaa vijana zaidi ya hao unao waona.
Ubungo na kibamba walijaa mpaka bomu la machoz likapigwa lkn idadi ya hapo mkapa naona imezid
 
Mbona hazibadiliki? Mwaka 1995 nilisimamia uchaguzi katika kituo cha kupigia kura. Malipo yalikuwa hayo hayo! Hali ni mbaya. Inaonekana hawa wote ni wategemezi - kwa wazazi, mashemeji nk. Cha ajabu utakuta 2/3 ya hao wana-support CCM. Ndio maana watu wengine hawawaonei huruma.
Kwa hiyo wewe ulitaka wasupport chama gani ili muwaonee huruma?
 
Mbona hazibadiliki? Mwaka 1995 nilisimamia uchaguzi katika kituo cha kupigia kura. Malipo yalikuwa hayo hayo! Hali ni mbaya. Inaonekana hawa wote ni wategemezi - kwa wazazi, mashemeji nk. Cha ajabu utakuta 2/3 ya hao wana-support CCM. Ndio maana watu wengine hawawaonei huruma.
Ni kweli kabisa usemayo,vijana tunatakiwa tukatende haki katika kusimamia huu uchaguzi kwani hali ya mtaani ndio kama mnavyoiona
 
Hapo CCM roho zao kwatuuuu watoto wetu wanavyodhalilika wakati wao wanatembea na excess cash kwenye briefcase!!!
 
Ubungo na kibamba walijaa mpaka bomu la machoz likapigwa lkn idadi ya hapo mkapa naona imezid
inaonyesha Vile viwanda 3000 vya CCM vimesimamisha uzalishaji, haiwezekani vijana wote hao, tena naambiwa wengi wana Master degree alafu hawana ajira, na wengi wametokea nyumbani kufik hapo.
 
Duh I feel their pains. Maisha ni tight sana
 
Back
Top Bottom