Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

Live kutoka Benjamin Mkapa Stadium usahili wa NEC

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,905
Reaction score
4,940
#Habaripicha Kutoka Benjamin Mkapa Stadium ndan na nje ya uwanja, Umati wa watu walioomba kusimamia uchaguzi Mkuu Oct 28, wakisubiri kufanyiwa usaili katika wilaya ya Temeke DSM.

IMG-20201006-WA0011.jpg
IMG-20201006-WA0010.jpg
 

Attachments

  • IMG-20201006-WA0011.jpg
    IMG-20201006-WA0011.jpg
    71.6 KB · Views: 3
Nafasi ya juu ni 35k, 20k na 15k per two days.
Nafasi ya kati ni 30k, 20k na 15k per two days.
Nafasi ya chini ni 30k na 15k per one day.
Kwa hio foleni yote hioooooo atakayepata pesa ndefu ni elfu 70 kwa hizo siku 2 na ataepata pesa ndogo kabisa ni elfu 30 kwa hizo siku 2 sio?

Nalalamika sina viatu wenzangu hawana Miguu-Mwana FA

Sometimes tushukuru sana kwa maisha tuliyonayo maana inatisha sana.
 
Mbona hazibadiliki? Mwaka 1995 nilisimamia uchaguzi katika kituo cha kupigia kura. Malipo yalikuwa hayo hayo! Hali ni mbaya. Inaonekana hawa wote ni wategemezi - kwa wazazi, mashemeji nk. Cha ajabu utakuta 2/3 ya hao wana-support CCM. Ndio maana watu wengine hawawaonei huruma.
Nafasi ya juu ni 35k, 20k na 15k per two days.
Nafasi ya kati ni 30k, 20k na 15k per two days.
Nafasi ya chini ni 30k na 15k per one day.
 
Back
Top Bottom