Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,505
AHahaha ni shidaaa leo, watu lazima wajiozeshe unadhan mchezo mxiuuuu, watu wamepagawa mpaka wanavaa shela mxiuuuu
Yaan naona njini kote ni zari tuuuuuuuuuu kiruuuuu
AHahaha ni shidaaa leo, watu lazima wajiozeshe unadhan mchezo mxiuuuu, watu wamepagawa mpaka wanavaa shela mxiuuuu
Duuu Big Noooooo
Leo lazima tujitambulishe mlimani aseeh, maana tutakavyotokelezea, tunaingia km couple leo ni shidaa, aunty Ezekiel asipojifungua leo hjifungui tena
Teheheje, sikua nania kabisa ya kucomment humu, ila nimevutiwa na utetezi wako yakua "hata sikujua kuna such a thing"This is direct name calling na upotoshaji. Am not the person you're referring to.
Jiepushe na name calling in future.
Hata sikujua kuna such a thing
Kwaninuu chachaàaa ushahama timu wema au hhhaa
Nilihama tangu siku aliyopewa BMW na babu nikahamia kwa Chibu Dangote haaaaa haaaaa haaaaaa chibu ndo mpango mzima wema hana mpango
Acha wivu wewe Le Mutuz ni mtu mkubwa sana kwenye nchi hii.
watangazaji wa cloudsfm sauti zina wabeba sana but appearance ni 0 hando anaonekana kama mlevi wa pombe kali,babra nae duuh mazoezi muhimu!!
hii lugha bana ilikuja na meli, pia huyu jamaa hando ni mjanja nyuma ya camera, na OB , Namaanisha OUTSIDE BROADCASTING ni poor, pia walikosea kuwepo hapo, wapo wapo tu, wamepoa Kama maji mtunginj, ni Mara 100% wangewapa wale jamaa zao wa XXL wakae hapo wafanye interview, kina hando wamezoa masuala ya siasa, ndo maaana hata maswali yao ya ....?, haya kichwa wala miguu, Hando anajua akiwa nyuma ya camera tu, English daaah? hii lugha bana, bora hata wangemuita yule wa nirvana lotus afanye interview kwa ajili ya kumhoji Zari,
Weraaaaaaaaaaaaaaa weraaaa karibuuuuu
Zari kasema sababu moja pia ya kuvutiwa na Diamond ni HE IS VERY VERY INTELLIGENT.
HE IS VERY VERY INTELLIGENT
HE IS VERY VERY INTELLIGENT
hahaha watu bana, ebu tuma picha yako tukulinganishe na Zari , tuone how beautiful you're??
Hivi wewe kijana kila aliyepo hapa JF unahisi ni mtu mdogo kama le mutuz hahaha kwa taarifa yako Le ni kijana sana kwangu kwa kuingia sehemu yeyote.
Mmh... kumbe huyo Zari hata sio mzuri kihivyo...
Vivumishi vilizidi.
Halafu mmama.
Tena mwambie atume akiwa ameshazaa watoto watatu tumuone anafananaje na kama kijana wa miaka 25 anaweza kumtongoza.