Thread 3 JF zote zinazungumzia Interview hii ya Diamond na Zali
Zari kasema sababu moja pia ya kuvutiwa na Diamond ni HE IS VERY VERY INTELLIGENT.
HE IS VERY VERY INTELLIGENT
HE IS VERY VERY INTELLIGENT
Watangazaji wanaboa hawajiamini.....sound quality ya clouds tv mbovu sana...
Hando hujui kiengereza unaumbuka sana leo kumuhoji zari..kasomee ww
Wao wenyewe wanampa promo bila kujijua.. Hahaa..mngemuacha tu domo afanye yake na sisi tufanye yetu, mnapoteza muda bure.
Watangazaji wanaboa hawajiamini.....sound quality ya clouds tv mbovu sana...
Kama JamiiForums imetuma official mwakilishi wewe nani wa kupingaa? Tulia dawa iingie.
Nachukia sana mwanamke anae tegemea kuishi vizuri kupitia CHIU yake, Naamini Dadazetu watakuwa wamejifunza kitu