Live Interview: Zari All White Party - Clouds Tv/Radio

Live Interview: Zari All White Party - Clouds Tv/Radio

Dah!! Nyie kiboko aiseeh, nimewavulia kofia, sio mapokezi yale, zari umetisha, tukomeshe.
 

Attachments

  • 1430469615124.jpg
    1430469615124.jpg
    53.2 KB · Views: 670
Binamu warumi hebu niambie yamoto band wanashow weekend hii?
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu anaangalia season ya empire toka jana anairudia tu kupotezea party ya zari, mi namshauri atafute tu tamthilia ya isidingo aangalie mpaka jumatatu apunguze stress, maana izi habar hajichiji leo wala kesho
 
Acha wivu Zari mrembo tishaa sana miaka 800.Weka picha yako tukuone sura yako ka unakata gogo mxiuuuuuu.
Mmh... kumbe huyo Zari hata sio mzuri kihivyo...
Vivumishi vilizidi.
Halafu mmama.
 
Mimi ninachojua week hii kuna zari white party, izo show sijui band za vigodoro sina habar nazo, nadeal na party za kishua tu, party zenye hadhi nyota tano, party za watu wenye heshima na watu zao
Nimeipenda hii, Zari anastahili heshima yake.
 
Dinazarde uko wapi? Lile gauni lako la milion 200 umeshaenda kuchukua airport? Maana mzigo uliingia jana usiku airport DHL waliniletea mpaka nyumbani jana, halafu viatu havinitoshi yan dola mia 800 zangu zimeenda bure, nipo posta nimekuta kiatu cha mil 1 na laki tatu nimekpenda ndo nakichukua, ufanye haraka tuwahi lunch pale serena tujipige maselfies
 
Last edited by a moderator:
ticket = Millioni Moja
nguo = laki mbili Na nusu
kiatu = laki na ishirini
gas money = 40 thou
drinks = laki Tatu

Faida:
1,kupiga picha na insta famous
2,kucheza mziki
3,kupiga picha na celebrities
4,kuona warembo na ma hb


Hasara
1,umaskini wa miezi 6
2,Hangover
3,kupoteza usingizi wako
4,kutajirisha wengine
5,6,7,8,9.......endeleeni nyinyi😂
 

Attachments

  • 1430470602392.jpg
    1430470602392.jpg
    42.2 KB · Views: 462
nifah tukutaneni saa nane pale serena kwa ajil ya lunch na kujipiga maselfies,leo wataarisha damu mtaa wa saba mxiuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Dinazarde uko wapi? Lile gauni lako la milion 200 umeshaenda kuchukua airport? Maana mzigo uliingia jana usiku airport DHL waliniletea mpaka nyumbani jana, halafu viatu havinitoshi yan dola mia 800 zangu zimeenda bure, nipo posta nimekuta kiatu cha mil 1 na laki tatu nimekpenda ndo nakichukua, ufanye haraka tuwahi lunch pale serena tujipige maselfies

Hahhahhaaa sio ya kukosa hiyoo jamanii nishachukua hilo gaunii aiseeeeee matumbo ukuje
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu anaangalia season ya empire toka jana anairudia tu kupotezea party ya zari, mi namshauri atafute tu tamthilia ya isidingo aangalie mpaka jumatatu apunguze stress, maana izi habar hajichiji leo wala kesho

Yaan kuna watu watakua wamenuna haswaaa uwepo wa zari Dsm nami naombea akae tu bana yaan kawapiga kimyaa masta ushuzi kimyaaaàa hhhhhhhhaaaaaaaaaa uwiiiii nimeona leo wataangalia series zoteee maninaaa
 
Hahhahhaaa sio ya kukosa hiyoo jamanii nishachukua hilo gaunii aiseeeeee matumbo ukuje

Leo lazima tujitambulishe mlimani aseeh, maana tutakavyotokelezea, tunaingia km couple leo ni shidaa, aunty Ezekiel asipojifungua leo hjifungui tena
 
Last edited by a moderator:
Umeona mapokezi yale? Mrembo by Nature leo nawashauri tu muangalie isidingo maana empire itakuwa fupi leo ahahah natania usinichambe

Masikin anaonekana hana raha kabisa anavyotangaza kua atakuwepo mwaz yaan imebumaaaaa aiseeeee bora angekaaa ndani na mmewe invisible
 
Last edited by a moderator:
Leo lazima tujitambulishe mlimani aseeh, maana tutakavyotokelezea, tunaingia km couple leo ni shidaa, aunty Ezekiel asipojifungua leo hjifungui tena

Hhhhaaaaaaa nilicheka alivyoambiwa na esma kua afanye promo maana huo ni ugali wa iyobo
 
Masikin anaonekana hana raha kabisa anavyotangaza kua atakuwepo mwaz yaan imebumaaaaa aiseeeee bora angekaaa ndani na mmewe invisible

AHahaha ni shidaaa leo, watu lazima wajiozeshe unadhan mchezo mxiuuuu, watu wamepagawa mpaka wanavaa shela mxiuuuu
 
Back
Top Bottom