Live Interview: Zari All White Party - Clouds Tv/Radio

Live Interview: Zari All White Party - Clouds Tv/Radio

umeona enhee

hii lugha bana ilikuja na meli, pia huyu jamaa hando ni mjanja nyuma ya camera, na OB , Namaanisha OUTSIDE BROADCASTING ni poor, pia walikosea kuwepo hapo, wapo wapo tu, wamepoa Kama maji mtunginj, ni Mara 100% wangewapa wale jamaa zao wa XXL wakae hapo wafanye interview, kina hando wamezoa masuala ya siasa, ndo maaana hata maswali yao ya ....?, haya kichwa wala miguu, Hando anajua akiwa nyuma ya camera tu, English daaah? hii lugha bana, bora hata wangemuita yule wa nirvana lotus afanye interview kwa ajili ya kumhoji Zari,
 
Acha wivu wewe Le Mutuz ni mtu mkubwa sana kwenye nchi hii.

Aya umesema ni wivu "eti anaakili kubwa yupo wapi mpaka sasa na mapro aliojipa kutwa nzima jana mpaka usiku wa manane
Naona hata kusogelea eneo hilo la interview atakuwa kanyimwa then ndio unamfananisha na mimi huyu mtu wa mbwembwe dah...we kweli kilaza.
 
Kuna sehemu nimepiga mkwara? Soma sheria za JF mkuu wangu utaelewa namaanisha nini.

Hii imefanywa kwangu namwacha, akifanya hivyo kwa members wengine wala hatuna mjadala; ni ban isiyopungua mwezi mmoja.

Name calling,i know!!
 
Ume muona le mutuz? ze king of all bongo social networks!!
 
Ume muona le mutuz? ze king of all bongo social networks!!

Nadhani alitaka kuforce uwepo wake wakamzuilia getini
Maana zile mbwembwe za jana mpaka usiku wa manane lakini kimya
Kuna jambo sio bure mabausa wa clouds watakuwa wamemzuia
 
Gerald amechoka dah mshkaji anaonekana anakunywa vyombo vikali
 
Nadhani alitaka kuforce uwepo wake wakamzuilia getini
Maana zile mbwembwe za jana mpaka usiku wa manane lakini kimya
Kuna jambo sio bure mabausa wa clouds watakuwa wamemzuia

Noo! Alikuwepo na kapata kuuliza swali u know!
 
Nadhani alitaka kuforce uwepo wake wakamzuilia getini
Maana zile mbwembwe za jana mpaka usiku wa manane lakini kimya
Kuna jambo sio bure mabausa wa clouds watakuwa wamemzuia

Wasifu wake Le mutuz tafadhali

1430465936182.jpg
Mtamkoma le mutuz.!
 
Kibo10 mie nataka kujua yamoto band weekend hii wanafanya show wapi?
 
Last edited by a moderator:
Wamependezajeeee sipati picha fulan angekuwepo hapo pembeni ya diaomnd weeeeeeee
 
Haya mapokezi ya zari ndani ya Clouds FM yalikuwa ni kabambe aiseeh haijawahi kutokea kwenye historia ya entertainment Tanzania, I'm wondering is it because of zari? Is it because of Diamond? Or the combination of the two?

For God's sake Diamond has never been given such a respectful reception for those years since he started to manipulate the music industry in Tz.

Zari umeiteka Tanzania, zari umemteka kaka yetu, zari umeiteka entertainment industry ya Tanzania, zile swaga wakati unaenda kuchukua msosi khaaa!! I was like men this is not happening u know??, u were such a East African kim kardashian, everybody in the studio was eyeing zari, kwa kweli zari ni kiboko yao aseeh, u killed it....,na ulivyong'ang'ania kubaki Tz khaaa!! Yani apo umewaudhi wakina mwafulani ujue khaa wewe kiboko aseeh wakuache.
 
Back
Top Bottom