Papaa Azonto
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 319
- 277
umeona enhee
hii lugha bana ilikuja na meli, pia huyu jamaa hando ni mjanja nyuma ya camera, na OB , Namaanisha OUTSIDE BROADCASTING ni poor, pia walikosea kuwepo hapo, wapo wapo tu, wamepoa Kama maji mtunginj, ni Mara 100% wangewapa wale jamaa zao wa XXL wakae hapo wafanye interview, kina hando wamezoa masuala ya siasa, ndo maaana hata maswali yao ya ....?, haya kichwa wala miguu, Hando anajua akiwa nyuma ya camera tu, English daaah? hii lugha bana, bora hata wangemuita yule wa nirvana lotus afanye interview kwa ajili ya kumhoji Zari,