Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Haya fuatilieni mahojiano juu ya tamaisha hili la leo mjionee na kusikia kama maandalizi yanaendana na thamani ya tiketi zenu au ni ujanja ujanja wa mjini wa waandaji?ni live clouds tv/radio kuanzia saa 1 mpaka saa 4 asubuhi.
Bahati nzuri member mwenzetu Le mutuz kajinasibu kuwepo kwenye interview pia ebu naye tumsikie je analipi jipya?Anaingia kwenye interview hii kama nani?Au ni zile sifa zake za kuforce umaarufu?
Cc @W.J.Malecela
Leegoooo!!!