LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

Floyd kamkubali dogo..."he is a tough competitor".
 
Congrats Mayweather 45-0 and $41 million in your bank account. 4 more fights to tie the record.
 
Congrats Mayweather 45-0 and $41 million in your bank account. 4 more fights to tie the record.

Ila dogo Canelo ni mkali....rekodi ya 42-1-1 na KO 30 katika miaka 23!! Hakika ana a very promising future.
 
kashinda ngoja nimfate twitter nione ng'embe anazotema
 
Upo MGM grand Ya Vingunguti au ya Manzese?


Sasa najiandaa kutoka Las Vegas na kisha nirudi zangu Los Angeles ktk viunga vya wazee wa Rim na kupimp magari yaani Compton...
Haya maliza Fanta Kipaplipapli yako hiyo urudi nyumbani sasa...
 
pambano lijalo huyu Mayweather tumkutanishe na mtoto kutoka Milima ya Ulugulu SMG Cheka himself.....!!!


Uzito tofauti.
Cheka kwanza apambane na Companero, kisha aende kupambana na Matola kisha Belo...

Kwa Mourinho simruhusu, maana atapigwa amba kat chembe kidevu raundi ya kwanza tu Uji akaita uchi...
 
Sasa najiandaa kutoka Las Vegas na kisha nirudi zangu Los Angeles ktk viunga vya wazee wa Rim na kupimp magari yaani Compton...
Haya maliza Fanta Kipaplipapli yako hiyo urudi nyumbani sasa...

Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaa, teh teh teh teh teh, siyo fanta bambuucha?
 
Haya mnyika na ndugai star tv.....mnyukano unaendelea
 
Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaa, teh teh teh teh teh, siyo fanta bambuucha?


Hah hah hah Fanta Bambucha haina siri sheikh...
Domo lazima limeremete as if umebwia ubuyu wa Vimto...
 
Dogo yupo poa...ila leo Floyd ni mjanja sana anataka kushinda kwa point. Ndiyo maana anamdonoadonoa dogo!

The problem with some of the casual fans is they just want to see a brawl and not the sweet science of the marquess of queensbury rules.

But some of us are fans of Money May just because of that (the sweet science) and he put on a clinic tonight.
 
pambano lilikua zuri sana, kwa bahati mbaya carnelo hakubahatisha kumpiga ngumi za ukweli floyd, mwenyewe kakiri kua ameshindwa kumkamata " i have been trying to catch him but i could not" wacha wanaume watengeneze pesa bwana
 
Umemwangalia Pacman kwenye mapambano yake mawili ya mwisho? Kadrop sanaa.

kwani floyd kaanza kumkimbia pacman leo over 3yrs ana mduck
afu floyd ni mjanja sana kwenye ku pick opponent wake coz alijua canelo hana speed so asingempa tabu kucheza defensive style yake ya kila siku
by the way floyd always wins on point kwa sabab ya ku defense sana
kapigana na mtu kamzid almost a decade
manny hata kma ameanza ku drop ni kutokana na hayuko fit psychological kutokana na mambo yake ya nje ya uwanja akitulia floyd anakaa tena kwa KO
 
Congrats Mayweather 45-0 and $41 million in your bank account. 4 more fights to tie the record.

Don't forget the PPV revenue, gate revenue, and revenue as a promoter through his Mayweather Promotions company. So the $41m is just the guaranteed purse that's on the contract but he stands to earn way way more than that.

I think he'll again top this year's list of the highest paid athletes in the world. Against Robert Guerrero a couple month ago he banked in $32 million excluding the PPV revenue.

The dude is one hell of a self promoter.
 
Back
Top Bottom