LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

kwani floyd kaanza kumkimbia pacman leo over 3yrs ana mduck
afu floyd ni mjanja sana kwenye ku pick opponent wake coz alijua canelo hana speed so asingempa tabu kucheza defensive style yake ya kila siku
by the way floyd always wins on point kwa sabab ya ku defense sana
kapigana na mtu kamzid almost a decade
manny hata kma ameanza ku drop ni kutokana na hayuko fit psychological kutokana na mambo yake ya nje ya uwanja akitulia floyd anakaa tena kwa KO

Inshallah! Mie binafsi ntafurahi sana kama Pacman atamdondosha Floyd,

Lakini si kweli kuwa Floyd huwa anamkwepa Pacman bali wanakwepana na wanashindwa kukubaliana kwenye malipo
 
Inshallah! Mie binafsi ntafurahi sana kama Pacman atamdondosha Floyd,

Lakini si kweli kuwa Floyd huwa anamkwepa Pacman bali wanakwepana na wanashindwa kukubaliana kwenye malipo

braza hyo ndo njia moja ya kumkwepa eti money anasema kama pac anataka kupigana naye aingie kwenye promotion team yake kitu ambacho anajua pac hawezi kukubali
 
nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...

Twende sasa.........
Floyd Money Maywether has won the contest
 
PACman alikua mzuri ila toka apewe ugavana kwisha kazi.....
alafu nahisi jamaa anaweza kuwa teja, we muangalie vizuri usoni utagundua kitu..!!

subiri november 24 tutajua kma kaisha au lah
 
Inshallah! Mie binafsi ntafurahi sana kama Pacman atamdondosha Floyd,

Lakini si kweli kuwa Floyd huwa anamkwepa Pacman bali wanakwepana na wanashindwa kukubaliana kwenye malipo

Halafu Pacman alikataa kupima damu kabla ya pambano lao (Money na Pacman) kuangalia kama mabondia hao wanatumia PEDs (madawa ya kuongeza nguvu). Mwanzo Pacman alisema anakataa kwa sababu anaogopa sindano, baadaye akasema anaogopa akitoa damu itampunguzia nguvu... Huyu dogo Canelo ajifunze 1 or 2 things from Floyd Jr, anaweza kuwa bingwa baada ya Floyd Jr kustaafu.
 
You're 100% accurate that figure of $41 million does not include PPV revenue

Don't forget the PPV revenue, gate revenue, and revenue as a promoter through his Mayweather Promotions company. So the $41m is just the guaranteed purse that's on the contract but he stands to earn way way more than that.

I think he'll again top this year's list of the highest paid athletes in the world. Against Robert Guerrero a couple month ago he banked in $32 million excluding the PPV revenue.

The dude is one hell of a self promoter.
 
The problem with some of the casual fans is they just want to see a brawl and not the sweet science of the marquess of queensbury rules.

But some of us are fans of Money May just because of that (the sweet science) and he put on a clinic tonight.

One day he will find a fighter with a kryptonite and beat the hell out of the sweet science of him.
 
Huyu dogo Canelo ajifunze 1 or 2 things from Floyd Jr, anaweza kuwa bingwa baada ya Floyd Jr kustaafu.

Kweli kabisa. Canelo ni future boxing; although, honestly, he is already a superstar.

Floyd mwenyewe kamkubali na ushindani kutoka kwake. Ushawahi kumwona Floyd yupo uptight round za mwanzo za ndondi? Leo alikuwa uptight sana hadi dingi akawa anamwambia "calm down" mara kibao tu! Hata Floyd alikiri wakati wa post-game interview; na akasema dogo ni tough competitor. Na Mexico ina reputation ya kuwa na watu wabishi; leo Canelo kadhiirisha tena.
 
Back
Top Bottom