LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...

Twende sasa.........

Upo MGM grand Ya Vingunguti au ya Manzese?
 
Dogo anafundishwa masumbwi na Floyd...Floyd anamdonoadonoa dogo hapa..
 
Hahahahahaa, pole Sheikh

Sasa huyu Mayweather inabidi tufanye mpango akatane na The General himself, Gang Chomba, au unaonaje mzee?


Ntapiga huyu mbilikimo, ntambetua mitama kwenye lami kisha ntatimba kichwa chake hiki kama stafeli...
 
Last edited by a moderator:
Mayweather alikuwa anakimbia kimbia raundi za mwisho. Alvarez amejitahid
 
Back
Top Bottom