LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

Hutakiwi kukosa hii ishu...
Maana hawa tunaowasubiria hakuna aliepoteza pambano.
So atakaejamba leo aibu yake

Mayweather akishindwa itakuwa poa kwangu. anaongea sana akishinda, Nataka nione akishindwa ataongeaje.

Haya kunakuchaaaaa sasa
 
Mhhhhh! 🙂🙂...latino watachonga sana, mwache atetee rekodi yake ya 44-0 maana bado mapambano matano tu afikishe 49-0 na hivyo kutie na huyo mwenye rekodi na kama akishinda mapambano mengine 6 basi atakuwa ni bondia pekee duniani ambaye amecheza mapambano 50 na kushinda yote.

Mayweather akishindwa itakuwa poa kwangu. anaongea sana akishinda, Nataka nione akishindwa ataongeaje.

Haya kunakuchaaaaa sasa
 
Mi nafuatilia Showtime. Ishe ka disappoint.

Go Garcia.

Go Mayweather.
 
Umaarufu wangu mimi ni kama wa Jua...
asubuhi Mashariki jioni Magharibi...
Mchana mnanikimbia...
Usiku mnaniulizia...

Hahahah......

Hii ni nzuri, naomba uniruhusu kwa hati miliki zako niicopy kama ilivyo.
 
Wana waintroduce... Ngoja nikae mlalo mzuri kwenye kochi mie.
 
lil wayne na justin bieber ndio waliingia nae,

Haya business inaanza now... 1 2 3 go ndio submit yangu
 
Kuna website nyingi zinaweka live updates, ukigoogle majina live update utazipata wanakuletea habari kwa maandishi hukosi kitu.
 
Back
Top Bottom