Live from LEO TUPO HAPA PUB

Live from LEO TUPO HAPA PUB

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,334
Reaction score
23,940
Kama tulivyokubaliana wadau basi ndo tumefika eneo la tukio na wadau waliokwishafika ni Remmy Mtambuzi Asprin Madame B

uploadfromtaptalk1361635824935.jpg
updates:

Mkuu Vin Diesel naye yumo ndani ya nyumba.

Daah hadi wazee wa siasa kunyumba...

Update 2:
Mkuu Kipaji Halisi ndani ya nyumba...

Update 3: ismail n. Juma naye yumooo....


Da Madame B..ndo kinywaji gani hiki umeleta dada??!


updates:

4.Hadi sasa kuna members 20 na wageni 5 wote wa kike...


kuanzia kushoto...
manoah
Remmy
Teamo
Vin Diesel
FirstLady....be easy on the strawberry lips. alafu mumeo leo lazima aku...
The Finest
KakaKiiza
Justice faustine
Kipaji Halisi
Mentor...sterling wa IT sector
kushoto na kulia kwangu wageni waalikwa (guest members) (wamekuja na Vin Diesel) ila nimemsaidia kazi
babu Asprin...someone tek this old man away...btw hajaja na wake zake..get the picture.
Madame B
wengine muendelee kujitaja tafadhali govinder kumar inaisha hapa....
 
Last edited by a moderator:
Hapa ni bata kwa kwenda mbele....jamani fanyeni hima mje, mambo ipo huku.
 
Niwekee kiti pembeni yako afu uniagizie......

images

kama haipo niagizie hii.....
images


nakuja......!!!!!!!!
 
I will be there......kucheck muvi ya wabongo...this is my golden chanche.
 
Hapa ni bata kwa kwenda mbele....jamani fanyeni hima mje, mambo ipo huku.

yaani nyie kwa kupenda mambo ya usku!...si mlisema saa kumi na moja?. sipati picha mateja wa hapo komakoma na kwa mama zakaria watakavyo wafanyizia..hahahahahaaa.!!!...(kidding). mia
 
Safi sana Dar-Wing! Ila naombeni sana muwe na kumbukumbu hii! Kila mkutanapo popote pale msisite kuwatakia kila la Kheri member wa Arusha-Wing! na hata niwatakieni wakati mzuri!
 
I will be there......kucheck muvi ya wabongo...this is my golden chanche.

Ukichelewa sana utakuta watu zishawafika mukichwa sijuiiiii....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom