Live Coverage from Mzenga Old Stand Grounds Mlandizi

Live Coverage from Mzenga Old Stand Grounds Mlandizi

Kuna gari imekuja na walioamua kujivua magamva wanaojiunga na CDM kupambana kuikomboa nchi kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi ccm
 
Tuko pamoja kamanda UJANJAUJANJA we endelea kutujuza kinachojiri huko Kibaha tunafuatilia.

Usipoteze muda wako kumjibu huyo mwizi wa simu anajiita my web yuko kikazi zaidi kwa ujira wa buku saba za lumumba project!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hakika ninachokiona kwenye viwanja hivi kinanifanya niipende Mlandizi yangu,kwa hakika naliona anguko kuu la maccm
 
Ni muda wa utambulisho sasa,viongozi wanatambulishwa hapa
 
Sasa, ni kila sehemu, yaani anguko la CCM ni la mshindo mkuu.
 
Ni burudani tupu,wananchi wanazidi kuzinduliwa mindsets zao,ccm wana kazi 2014/2015 kwa hakika,hawatoki
 
ilo anguko linatokea lini? Acheni kwenda vijijini halafu mnajisifu eti anguko! Mtasubiri sana!
Niko Ruaha kijijini, CCM imekwisha kabisa. Sera yao sasa ni mabomu ya machozi na kubambikiza kesi.

DSC00090.JPG

Mkurugenzi wa Mafunzo na Organaizesheni wa Chadema Taifa Singo Bensoni alisema Lengo la Mafunzo hayo ni kuhakikisha wanapata wakufunzi 30606 nchi nzima ambao watatawanyika katika kila kitongoji nchi nzima kwa ajili ya kutoa elimu kwa wananchi na kuunda matawi ya Chama hicho ikiwa ni pamoja na kukifikishama hadi ngazi ya Chini
 
mopaso ya kembo na yawe ..


Nilikuwa nabip tu Mkuu. Ha ha ha ha... naona umeamua upige kabisa, eti? Mwalimu wangu Tabuley mtu wangu. Naona hakufanya kazi nzuri kihiiivyo. Ha ha ha....
 
Gwakisa an aongelea kuhusu shule kukosa madawati,zahanati kukosa dawa,kwamba polisi wajinga wanatumiwa tu
 
Back
Top Bottom